Sisemi kwamba haikuwa halali maana hata mpira sijauangalia wala kusikiliza kwenye radio, lakini wangekuwa na nidhamu ya mchezo wakaepuka kupata red card pengine tungekuwa tunaongea mengine, ndo mpira ulivyo hongereni Yanga poleni Mbeya City labda baada ya kipigo hiki mtapunguza kuongea na kuwa na heshima kwa waliowatangulia.mbeya city walikuwa wanacheza rafu sana..kadi nyekundu ni.haki yao