Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,364
- 108,510
watu 8 acha kunisulubu bwna wew na dada heaven sote yanga banaaaaa nihnaaa ikhwaan achen njimwage
Haya pamoja sana...
watu 8 acha kunisulubu bwna wew na dada heaven sote yanga banaaaaa nihnaaa ikhwaan achen njimwage
Nimekupa like ya kimoyo moyo.We shinda hiyo migoli minne, lakini sisi goli moja tu limetosha kuharibu historia ya mtu na pointi tatu tumepata.
Jamani nauliza tu, Hivi TAMBWE magoli aliyoyafunga kwa timu za majeshi ni mangapi?
mana nimesikia leo uwanjani watu wanadai timu za majeshi ndio zinampa tambwe ufungaji bora.
Kwani washambuliaji wa timu zenu hawakutani na timu za majeshi? Kwa taarifa tu hao Mbeya City mnaojidai nao leo alishawafunga mawili.Jamani nauliza tu, Hivi TAMBWE magoli aliyoyafunga kwa timu za majeshi ni mangapi?
mana nimesikia leo uwanjani watu wanadai timu za majeshi ndio zinampa tambwe ufungaji bora.
ndio mana inashauriwe iwepo timu moja tu ya majeshi...nyngi dhaifu tambwe anajipgia tu.Kwani washambuliaji wa timu zenu hawakutani na timu za majeshi? Kwa taarifa tu hao Mbeya City mnaojidai nao leo alishawafunga mawili.
Tulioshinda goli nyingi hatupigi kelele, nyinyi nakagoli kenu kamoja kelele kibaaaaooooo.na mpira umekwisha mbeya city wamepigwa ha ha ha yanga oyeeeeeree
Azam 4 - 0 Kagera sugar.Leteni matokeo
Kwani washambuliaji wa timu zenu hawakutani na timu za majeshi? Kwa taarifa tu hao Mbeya City mnaojidai nao leo alishawafunga mawili.
Kwani washambuliaji wa timu zenu hawakutani na timu za majeshi? Kwa taarifa tu hao Mbeya City mnaojidai nao leo alishawafunga mawili.
maneno mengi.. mngeshinda 4-0 kama Idomitable SSc jana sijui ingekuwaje!
wakina ndaga fijo leo wanalo...mie niliwaona hiyo siku full mbwembwe sasa wanarudi kichwa chini
Tulioshinda goli nyingi hatupigi kelele, nyinyi nakagoli kenu kamoja kelele kibaaaaooooo.
pamoja ssaana yanga daima mbele nyuma mwiko
watu 8 ,dada heaven and others pa1 saaaaaaaaaaaaaana
Leteni matokeo
Safi sana yanga, tusubiri simba watakavyofungwa ndio waone kuwa yanga ni timu bomba na kuwa imeifunga timu wanayoigopa
Tulioshinda goli nyingi hatupigi kelele, nyinyi nakagoli kenu kamoja kelele kibaaaaooooo.