tuko full kila idara inaonekana hamtujui vizuri
Tunawapiga halafu mrudi mkafagie mabarabara ya mbeya
tuko full kila idara inaonekana hamtujui vizuri
tuko full kila idara inaonekana hamtujui vizuri
Haraf hawa Mcc, si ndio walio tufanyiaga fujo kule kwao?
watoto wadogo sanaaaa hatuna haja ya kuwajua
mpira ukiisha tu na wao tunawachapa...
hamna lolote....subiri mpira uishe mbona unakelele sana..
mkuu mbona umekazania tusubiri mpaka mpira uishe mna ajenda gani? Au mmeficha mawe mifukon??
masikini mnyikungu pole sana. Yanga ndio hiyoooooo inapaaa. Nini mbeya city?????
Cc: Mnyikungu
Mkuu mbona umekazania tusubiri mpaka mpira uishe mna ajenda gani? Au mmeficha mawe mifukon??
ha ha ha mbeya city wanasubiri mpira uishe walete fujo
WABHEJASANA umeshindwa kuupdates,umevimbiwa pilau la Nape?
haki ya mungu hawa mbeya city leo wna kazi na nilijua tu haya yote yatatokea!
na wewe umetokea wapi?