Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
mbeya city wamepigwa moja bila
Asante............
Ila Kimoja tu ilibidi iwe vitatu
mbeya city wamepigwa moja bila
Mkuu usiwe mbishi, kwenye timu anapotolewa mmoja timu hupungua nguvu, halafu mimi sina uhusiano wowote na Mbeya City.
Hatimae binti yetu amekua sasa.....Kichapo kwa mara ya kwanza
hahah basi ungana na mwambusi kutafuta visingizo vya kunyukwa leo...
ahibbaiy ahibbaiy el yoom yaumunaa ma3alesh yanga fooq fooq laa nubaaliy bifaudhwaa simba el majnuun
hatimae binti yetu amekua sasa.....kichapo kwa mara ya kwanza
hawa wachawi wa mbeya tumewapiga leo
swali zuri, nyongeza ni kuwa kadi wakati inatolewa, goli lilikuwa lishafungwa kitambo sana!
ha ha ha haaa...hatuna sababu ya visingizio...mechi tumeiona....madhaifu tumeyaona naamini tutayafanyia kazi
Wewe sijui bado upo kwa sangoma unapiga ramli ama...
Hebu mwambie sangoma akurudishie mshiko wako, Mbeya City kafungwa
goli limefungwa kipindi cha kwanza, card imetoka kipindi cha pili, ilikuwa faulo, aliuzuia kwa mkono, kilichosababisha kadi, nahisi alitoa lugha chafu kwa refa.Kumbe goli lilifungwa ndio ikaja kutolewa hiyo Red card
hongera yanga..
Wewe sijui bado upo kwa sangoma unapiga ramli ama...
Hebu mwambie sangoma akurudishie mshiko wako, Mbeya City kafungwa
goli limefungwa kipindi cha kwanza, card imetoka kipindi cha pili, ilikuwa faulo, aliuzuia kwa mkono, kilichosababisha kadi, nahisi alitoa lugha chafu kwa refa.
mnyikungu upo hapo? nilikwambia watoto wa jangwan hatubabaishwi na uchawi
sisi kazi yetu ni kipigo tu iwe umekuja na vibuyu,umekuja na coster 100 ni kichapo tu hata ukiwa mwanga utakula kamoko tu kakuume vizuri hahahahahaahah yanga oyeeeeee