Live updates 02/02/2014:yanga vs mbeya city

Live updates 02/02/2014:yanga vs mbeya city

Asante............

Ila Kimoja tu ilibidi iwe vitatu

Unajua sikuzote binti anapokuwa anatolewa bikra kwa mara ya kwanza huwa anapata maumivu sana, inabii uwe na huruma kiac so kimoja kinakuwa kinamtosha ila siku nyingine itakuwa round za kutosha tu coz njia itakywa imeshafunguliwa
 
Wabongo bhana! tunatoka uwanjani kila mtu anasema lake, mara Azam kafungwa 2-1, mara kashinda 4-1, mara 3-1, na simu yng ilikuwa inasumbua netwk, sikujua ukweli ni upi, wengine walikuwa wanafurahia kabisa, kumbe fix tupu!
 
maneno mengi.. mngeshinda 4-0 kama Idomitable SSc jana sijui ingekuwaje!
 
unajua sikuzote binti anapokuwa anatolewa bikra kwa mara ya kwanza huwa anapata maumivu sana, inabii uwe na huruma kiac so kimoja kinakuwa kinamtosha ila siku nyingine itakuwa round za kutosha tu coz njia itakywa imeshafunguliwa

kibamiaaaaaaaaaaa
 
Unajua sikuzote binti anapokuwa anatolewa bikra kwa mara ya kwanza huwa anapata maumivu sana, inabii uwe na huruma kiac so kimoja kinakuwa kinamtosha ila siku nyingine itakuwa round za kutosha tu coz njia itakywa imeshafunguliwa
Kimoja cha leo kizuri, kwa kuwa-
1.kimepatikana Mbeya city wakiwa wote 11.
2.kilikuwa kizuri, yan tangia maandalizi yake hadi kupatikana kwake hakukuwa na longo longo.
3.wachezaji wa Mbeya city pamoja na benchi lao lote, wamekikubali bila shaka yoyote.
mm nimekipenda kimoja sbbu hakitakuwa na visingizio vya ooooh tulikuwa pungufu wkt kinaingia.
ASANTENI MBEYA CITY KWA KUTUFANYA WAKWANZA, KWAN HAMTATUSAHAU DAIMA!!!
 
Wabongo bhana! tunatoka uwanjani kila mtu anasema lake, mara Azam kafungwa 2-1, mara kashinda 4-1, mara 3-1, na simu yng ilikuwa inasumbua netwk, sikujua ukweli ni upi, wengine walikuwa wanafurahia kabisa, kumbe fix tupu!

acha kupotezea leo yanga tumewapiga mbeya city
 
jaman eee mbna mnanisulubu jamani kwa kuongea kiarabu si mnajua mtu akifurah kila mtu ana starehe yake leo mbeya city wlikuja hapa wakaanza kujigamba na lugha zao za huko sasa mie mwarabu jamani ntaongea lugha gn kinyume na kiarabu hee jamani niateni njimwage na lugha yangu eeeeeeeee
yanga foog foog alyaum yoom el farh was suruur yaum el chips wal biryaan was samakaat el mashwiyyy yanga oyeeeeeeeee watu 8 acha kunisulubu bwna wew na dada heaven sote yanga banaaaaa nihnaaa ikhwaan achen njimwage
 
Unajua sikuzote binti anapokuwa anatolewa bikra kwa mara ya kwanza huwa anapata maumivu sana, inabii uwe na huruma kiac so kimoja kinakuwa kinamtosha ila siku nyingine itakuwa round za kutosha tu coz njia itakywa imeshafunguliwa

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Jamani nauliza tu, Hivi TAMBWE magoli aliyoyafunga kwa timu za majeshi ni mangapi?
mana nimesikia leo uwanjani watu wanadai timu za majeshi ndio zinampa tambwe ufungaji bora.
 
maneno mengi.. mngeshinda 4-0 kama Idomitable SSc jana sijui ingekuwaje!

We shinda hiyo migoli minne, lakini sisi goli moja tu limetosha kuharibu historia ya mtu na pointi tatu tumepata.
 
Mijamaa inaongeka khaaaa utafikiri imechukua ubingwa.......kwendeni zenu huko........
 
Back
Top Bottom