Simba ushindi wenu droo tu...hebu angalia soka safi hawa vijana wa Kagera wanavyotandaza...
Kutandaza soka sio ishu.....ishu ni magoli.
Kijana nimeshakureport kwa mods
unastahili kufungiwa mwaka mzima maana husikii
Heheh...leo vipi hamtashangilia droo?
Huyu jamaa sio wa kusikiliza.Leo hawajampa khamiss Tambwe?
Yaani hili jitu sijui limetokea wapi,,,,,,,,,lingekuwa jirani ningelitandika makofi...
Droo mzidi kutuacha...? Leo ni ushindi,,,,