Milioni mia wakati sukari yenyewe tunatumia ya kutoka nje si watafilisika kabisa.Majanga mengine leo yanakuja msimbazi.
Kiwanda cha kagera sugar kimewaahidi wachezaji wao tsh 100m endapo wataipiga simba.
Milioni mia wakati sukari yenyewe tunatumia ya kutoka nje si watafilisika kabisa.Majanga mengine leo yanakuja msimbazi.
Kiwanda cha kagera sugar kimewaahidi wachezaji wao tsh 100m endapo wataipiga simba.
Siku ya Azam, Amri Kiemba na Zahoro Pazi hawakucheza vizuri sana, ngoja tuone leo itakuwaje.Wekundu wa msimbazi Simba leo watashuka uwanja wa taifa kuwakaribisha wakatamiwa wa kagera, Kagera Sugar, mchezo wa leo ni ''MUST WIN GAME'' kwa Simba baada ya kupoteza points kadhaa katika michezo 4 iliyopita.
Ushindi wa leo kwa Simba utawarudisha kileleni wa msima wa ligi, Simba imeongezewa nguvu zaidi baada ya wachezaji majeruhi Amis Tambwa na Nasorro Chollo kurudi uwanjani.
Mechi itaanza saa 10 kamili jioni na itakuwa live kupitia TBC1
UPDATE
Kikosi cha Simba
1. Abel dhaira
2. Nassoro chollo
3. Issa rashid ''baba ubay''
4. Hassan khatib
5. Joseph owino
6. Jonas mkude
7. Singano messi
8. Said ndelma
9. Amis tambwe
10. Amri kiemba
11. Zahoro pazzi
Mkuu, sikuile walikutana na mafundi wa soka, sio abrakadabra.Siku ya Azam, Amri Kiemba na Zahoro Pazi hawakucheza vizuri sana, ngoja tuone leo itakuwaje.
Hawa TBC1 mbona hawaonyeshi na hawasemi chochote, inakuwaje?simba wanacheza kasi wamedhamilia kushinda leo
Hawa TBC1 mbona hawaonyeshi na hawasemi chochote, inakuwaje?
Haya mmiliki wa timu ya mafundi, mtaani kwetu tunataka kujenga daraja vipi hao mafundi wanaweza kuja kutoa service?Mkuu, sikuile walikutana na mafundi wa soka, sio abrakadabra.
simba wanacheza kasi wamedhamilia kushinda leo
Tazama Channel TEN
Haya mmiliki wa timu ya mafundi, mtaani kwetu tunataka kujenga daraja vipi hao mafundi wanaweza kuja kutoa service?
tupeni basi live updates maana naona mpiga story tu