Live update: Simba SC vs Kagera Sugar

Live update: Simba SC vs Kagera Sugar

Majanga mengine leo yanakuja msimbazi.
Kiwanda cha kagera sugar kimewaahidi wachezaji wao tsh 100m endapo wataipiga simba.
Milioni mia wakati sukari yenyewe tunatumia ya kutoka nje si watafilisika kabisa.
 
Wekundu wa msimbazi Simba leo watashuka uwanja wa taifa kuwakaribisha wakatamiwa wa kagera, Kagera Sugar, mchezo wa leo ni ''MUST WIN GAME'' kwa Simba baada ya kupoteza points kadhaa katika michezo 4 iliyopita.
Ushindi wa leo kwa Simba utawarudisha kileleni wa msima wa ligi, Simba imeongezewa nguvu zaidi baada ya wachezaji majeruhi Amis Tambwa na Nasorro Chollo kurudi uwanjani.
Mechi itaanza saa 10 kamili jioni na itakuwa live kupitia TBC1
UPDATE
Kikosi cha Simba
1. Abel dhaira
2. Nassoro chollo
3. Issa rashid ''baba ubay''
4. Hassan khatib
5. Joseph owino
6. Jonas mkude
7. Singano messi
8. Said ndelma
9. Amis tambwe
10. Amri kiemba
11. Zahoro pazzi
Siku ya Azam, Amri Kiemba na Zahoro Pazi hawakucheza vizuri sana, ngoja tuone leo itakuwaje.
 
Kagera, mukitaka kumuua mnyama mkateni mkia tu, kwisha habari yake.
 
simba wanacheza kasi wamedhamilia kushinda leo
 
Mkuu, sikuile walikutana na mafundi wa soka, sio abrakadabra.
Haya mmiliki wa timu ya mafundi, mtaani kwetu tunataka kujenga daraja vipi hao mafundi wanaweza kuja kutoa service?
 
Nazungumzia mafundi soka, kuhusu ujenzi wa madaraja nakushauri kutana na John Pombe Maguful.
Haya mmiliki wa timu ya mafundi, mtaani kwetu tunataka kujenga daraja vipi hao mafundi wanaweza kuja kutoa service?
 
Back
Top Bottom