Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,316
Yule wa penalty?
Subiri umuone amis tambwe
Subiri umuone amis tambwe
Simba lazma wapgwe leo
amis tambwe yeye na kipa anakosa bao
Mkuu hivi unapata wapi hivi vikosi, maana siku ile ukaleta kikosi tofauti na leo pia umeleta kikosi tofauti au huwa unajaribu kubashiri?Wekundu wa msimbazi Simba leo watashuka uwanja wa taifa kuwakaribisha wakatamiwa wa kagera, Kagera Sugar, mchezo wa leo ni ''MUST WIN GAME'' kwa Simba baada ya kupoteza points kadhaa katika michezo 4 iliyopita.
Ushindi wa leo kwa Simba utawarudisha kileleni wa msima wa ligi, Simba imeongezewa nguvu zaidi baada ya wachezaji majeruhi Amis Tambwa na Nasorro Chollo kurudi uwanjani.
Mechi itaanza saa 10 kamili jioni na itakuwa live kupitia TBC1
UPDATE
Kikosi cha Simba
1. Abel dhaira
2. Nassoro chollo
3. Issa rashid ''baba ubay''
4. Hassan khatib
5. Joseph owino
6. Jonas mkude
7. Singano messi
8. Said ndelma
9. Amis tambwe
10. Amri kiemba
11. Zahoro pazzi
Huyu asipopewa ban ya maisha basi nahama jf ni bora nirudi facebook
Samahani mkuu si unajua sisi wa vijijini tumezoea mafundi ni wa kujenga tu.Nazungumzia mafundi soka, kuhusu ujenzi wa madaraja nakushauri kutana na John Pombe Maguful.
Mkuu hivi unapata wapi hivi vikosi, maana siku ile ukaleta kikosi tofauti na leo pia umeleta kikosi tofauti au huwa unajaribu kubashiri?
Arafu hii tabia inaanza kuota mizizi humu ndani, nawashauri upuuzi wao waache hukohuko MMU, huku ni kweli tupu sio novela
Huyu jamaa kaniudhi sana lazima nimletee unoko kwa mods
ni mwana fb huyu
Kagera sukari, tupeni raha wananchi, kila la kheri'
Hao Kagera wanapigwa nyingi tu kama wamesimama, na huenda kile kipigo cha bao sita walichoshushiwa mgambo kitawaangukia wao....
Hao Kagera wanapigwa nyingi tu kama wamesimama, na huenda kile kipigo cha bao sita walichoshushiwa mgambo kitawaangukia wao....