Live update: Simba SC vs Kagera Sugar

Live update: Simba SC vs Kagera Sugar

Amis tambwe anakosa tena bao, klosi safi ya baba ubaya
 
Wekundu wa msimbazi Simba leo watashuka uwanja wa taifa kuwakaribisha wakatamiwa wa kagera, Kagera Sugar, mchezo wa leo ni ''MUST WIN GAME'' kwa Simba baada ya kupoteza points kadhaa katika michezo 4 iliyopita.
Ushindi wa leo kwa Simba utawarudisha kileleni wa msima wa ligi, Simba imeongezewa nguvu zaidi baada ya wachezaji majeruhi Amis Tambwa na Nasorro Chollo kurudi uwanjani.
Mechi itaanza saa 10 kamili jioni na itakuwa live kupitia TBC1
UPDATE
Kikosi cha Simba
1. Abel dhaira
2. Nassoro chollo
3. Issa rashid ''baba ubay''
4. Hassan khatib
5. Joseph owino
6. Jonas mkude
7. Singano messi
8. Said ndelma
9. Amis tambwe
10. Amri kiemba
11. Zahoro pazzi
Mkuu hivi unapata wapi hivi vikosi, maana siku ile ukaleta kikosi tofauti na leo pia umeleta kikosi tofauti au huwa unajaribu kubashiri?
 
mpira umesimama kipa wa kagera sugar ameumia nadhani hawezi kuendelea na mpira
 
Dk 21

Simba SC 0 - 0 Kagera S

Mpira ulikuwa umesimama baada ya kipa wa Kagera kuumia...
 
Mkuu hivi unapata wapi hivi vikosi, maana siku ile ukaleta kikosi tofauti na leo pia umeleta kikosi tofauti au huwa unajaribu kubashiri?

mkuu huwa napata majina ya kikosi mapema kabisa, tatizo kocho huwa anabadilisha mcheza mpira unapokaribia kaanza, kama leo kabadilisha wakati timu zinakaribia kuingia uwanjani
 
Simba wanapata kona...Kagera wanaokoa...

Mwombeki offside!!! naona mashabiki wa Simba wanamtusi hapa Mwombeki
 
Dk 26

Salum Kanoni anapiga majimaji langoni mwa Simba...inakuwa ni goal kick

Simba washaanza...
 
Kagera team piga hao Simba warudi msituni.
 
Hao Kagera wanapigwa nyingi tu kama wamesimama, na huenda kile kipigo cha bao sita walichoshushiwa mgambo kitawaangukia wao....

Simba ushindi wenu droo tu...hebu angalia soka safi hawa vijana wa Kagera wanavyotandaza...
 
Back
Top Bottom