Live update: Simba SC vs Kagera Sugar

mwaka huu simba mnalo, huu ni mwaka wa mbeya city na azam
 
Shukrani nawe mkuu...naona jinamizi la droo linazidi kuwaandama...

Asante sana mkuu kwa updates,,,,,,,nilikuwa kama nipo uwanjani.........natangulia kukaribisha wageni bhana...
 
Simba inabidi wacheze bila mashabiki na walipe viti walivyoharhbu. Timu ya kipuuzi sana hii.
#team azam!
 
Hii Kagera si ndiko anatoka rais wa TFF....?? am just connecting the dots, na kinachotoke hapo uwanjani.

Mkuu hongereni kwa ushindi wenu wa sare ...ndo mpira huo...
 

Kwa kweli naona ushindi wa sare umewakifu
 
kuna shabiki wa simba kapigwa tanganyika jeki na polisi anatembelea ncha ya kucha
 
tatizo simba walianza kushangilia ushindi kabla mpira haujaisha. Tena wanastahili kupokonywa hata hiyo pointi moja then mechi zilizobaki simba acheze bila mashabiki uwanjani.
 
kwanini wanashindwa kuwa wavumilivu ?. Mbona sisi wakati zile 3 zinarudi tulikuwa wavumilivu sana ?. Simba ni timu ambayo mashabiki wake sio wastaarabu hata kidogo, kwanza ni wanywa viroba maarufu sana
 
Nyie Simba droo ndio ushindi wenu vurugu za nini, mnatuharibia uwanja wakati kwenu hata uwanja wa vumbi hamna.!!
 
Za kucha... vp penalty ni halali...maana muamuz asije fungiwa mwaka

mkuu penati haikuwa halali jamaa alifanyiwa faulo nje ya box alafu pia refa alikuwa mbali na tukio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…