Umslopagazi
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,584
- 774
Kuna matusi mengine CCM wanadhani wanatukana Chadema kumbe wanatukana wananchi...Kusema Halima Mdee si mwanamke mpaka aende labour, ni kuwatukana wagumba wote kuwa si wanawake! Namsahangaa Wema Sepetu kupigia kampeni CCM ilhali anatukanwa kwa ugumba!
Uzuri wanawake wengine japokuwa hawajazaa lakini sio wasagaji.