Live: Update mkutano wa DR magufuli -Singida Mjini

Live: Update mkutano wa DR magufuli -Singida Mjini

Mr Emmy

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2012
Posts
1,219
Reaction score
550
1. Chilolo amchana Lowasa mbaya

2. Live Mwigulu akiwachana Ukawa

3. Bulembo- Gwajima amesema misikiti itageuzwa sunday school lowasa akiingia ikulu na lowasa hajamkemea
4. Bulembo - Gwajima amesema Lowasa hataki kura za wakatoliki, Muislim bali anataka za waluther na walokole tu
5. Bulembo- Mdee anasema patachimbika hivyo amtaka kwanza aende Labour kujifungua ndio aje aseme patachimbika kwani hawezi kuwa mwanamke kabla ya kupata mtoto.

6. Ukawa ni wadini, wakanda na wapenda vurugu bulembo amewataka watanzania kuwapuuzia na kumchagua Magufuli

Sasa ni zamu ya Rais Mtarajiwa Dr Magufuli kusema na wana Singida
 
1. Chilolo amchana Lowasa mbaya

2. Live Mwigulu akiwachana Ukawa

Si muuze sera na sio personal attacks. Hapo ndipo mnapo kosea maccm. Kwa bahati mbaya, watu walisha amua kitambo nani kua rais.
 
Chilolo kashindwa Ubunge, alikuwa anakaa kila kona na Lowassa Bungeni, anajishebedua, hako ka mama kahuni sana...

CCM out...!!

Mkakatikiane viuno hukooo na wasanii..!!!

Sio hatutaki uchafu ..!!

Miaka 54 ni zaidi ya laana CCM kupewa nchi hii...!!

CCM out...!!
 
hayo mazuzu ya bongo flover yaliyopo ccm yaseme yanachana viongozi nao wanachana kweli viongozi wa ccm ni wasanii!!
 
sasa ni zamu ya January- anasema tarehe 25/10/2015 nchi itakuwa njia panda na kuna njia mbili watanzania wanataka kuzichagua (1) Njia ya CCM imeandikwa amani, upendo na maendeleo ( 2) Njia ya pili ni ya Ukawa imeandikwa Vurugu, Udini, Ufisadi na ukanda. Watanzania mmetakiwa kuchagua njia ya ccm ambayo ni ya amani, upendo na maendeleo
 
Nyalandu - amfananisha Magufuli na Daudi
 
Moyo wa Dr Magufuli upo karibu na Mungu- Nyalandu
 
Walah amini msiamini ccm out mwaka huu maguful mwenyewe kashakata tamaa maana hata kamati yake ya watu 32 imesepa na bilioni 1 wamemwacha kufuli apambane mwenyewe ndio maana anaigiza na push up mara apitie kwenye rufu ya gari hana sera.
 
Hivi wewe si unagombea Ubunge kwa ACT huko Singida?? Hangaika na Jimbo lako bwana Mottee
ndio maana mgombea wenu ameshindwa kuwahi pemba kutokana na uchovu
 
Chilolo nae ni wa kusema kitu kwa Lowassa, huu uoga umepitiliza, yaani naogop asipomsema Lowasa ataonekana mpinzani!!!!!
 
Chilolo kashindwa Ubunge, alikuwa anakaa kila kona na Lowassa Bungeni, anajishebedua, hako ka mama kahuni sana...

CCM out...!!

Mkakatikiane viuno hukooo na wasanii..!!!

Sio hatutaki uchafu ..!!

Miaka 54 ni zaidi ya laana CCM kupewa nchi hii...!!

CCM out...!!
 
Vp Dr.W.Slaa yupo hapo?! Maana tunaona picha karudi majuzi toka marekani na Kikwete ili aje atumike kama maputo ya wakubwa!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom