naomba kujua ni ngapi ngapuMchezaji gani yule wa yanga kapiga chenga ngome yote ya KMC kafunga goli la pili
Yanga 2-1 KMCmatokeo ni ngapi ngapi
Waziri Junior?Mchezaji gani yule wa yanga kapiga chenga ngome yote ya KMC kafunga goli la pili
Huwa hawafungi zaidi ya goli moja halaliWazee wa penalty
Hata Shadeeya anafahamuHuwa hawafungi zaidi ya goli moja halali
Malalamiko fcHakuna timu inabebwa nchi hii kama Utopolo
Ikawaje?Utopolo huwa hawajitokezi humu Hadi washinde ...mmeshapigwa huko?
Shinda mechi zako.Natamani nifanye kozi ya urefa. Huenda nikaondoa aibu hizi zinazoletwa na marefa hapa nchini. We have foolish referees
matokeo ni ngapi ngapi
Na wewe umelegea?Utopolo huwa hawajitokezi humu Hadi washinde ...mmeshapigwa huko?
HahahhahahHii penati Manara ataiongelea mwezi mzima,atabeba mpaka flat screen kuilezea.
Lunatic huyo asikusumbueHii penati Manara ataiongelea mwezi mzima,atabeba mpaka flat screen kuilezea.