Live TBC1 Simiyu: Mh. Dr. Shein hana bodyguard

Live TBC1 Simiyu: Mh. Dr. Shein hana bodyguard

Huyu jamaa katulia sana, Rais wa nchi inafaa uwe active kikauli na kivitendo. Kuongoza Afrika inafaa uwe mkali ukiongea wafisadi viroho vinawadunda sio wanakuna vitambi na kucheka kwa mazereu.
 
Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.
Imekaaje?
Mi nafikiri unamaanisha mpambe wake na sio bodyguard na ni yule ambaye amevaa sare za jeshi. Kama una maana ya huyo,basi TV yako haioneshi TBC itakuwa ni channel ingine ila mimi nimemuona. Kuujua ulinzi wa rais ulivyo utajipa kiwewe,pika ugali ukalale achana na hizi mambo usizozijua
 
Kama Maalim Seif (Rais mteule) hatembei na walinzi. Huyo anayefanana na BWANA YULE, mlinzi atamtoa wapi?
 
Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.
Imekaaje?
Lete picha , ila una utani sana. Kajaribu kusogea, yani wakati bado unafikiria usogee vipi watu wanakuchukua kama waganga wa kienyeji vile
 
Ni vizuri kama hujui jambo utulie uliza uelekezwe,we bodyguard wa Rais unamjua? au ukiona yule bwana kavaa nguo za kijeshi unadhani ndo imeishia hapo? kalagabaho..!
 
Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.
Imekaaje?
Eight parks men are there just turn on ur TV again
 
Usilete hadithi nyengine ya ukosefu wa akili.Sasa naamini asilimia kubwa ya watanganyika ni vichaa.Ikiwa hata Manji,Mengi,Daimoni wana walinzi itakuwa Dr.Shein anayo wakilisha nchi iliotowa makamu wa Rais,Mawaziri mabalozi(wa nchi za nje) na wabunge zaidi ya 70?
Shein ni rais wa Zanzibar! Zanzibar ni sehemu ya nchi ya Tanzania! Rais wa nchi ya Tanzania ni Magufuli!!
 
Chukua jembe ukalime Usitake kutushulisha Kwa mada mufilisi au Na wewe wame Ku scorpion tayali.
 
Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.

Imekaaje?

Acha fiks na huyo nyuma yake hapo akiutubia ni nani yake au na wewe ni kichaa [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji4]
 
Shein siyo Rais wa nchi bali ni rais wa Zanzibar! Rais wa nchi ni Magufuli hivyo tofautisha! Zanzibar siyo nchi!
HAPA NDO KUNA KOSA LA KIUFUNDI,MAGU NI RAIS WA TANZANIA NA SHEIN NI RAIS WA ZANZIBAR.
KIENEO ZANZIBAR NI NDOGO KULINGANISHA NA TANGANYIKA ILA ZANZIBAR NDO INA RAIS NA SIYO TANGANYIKA
 
Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.

Imekaaje?

Watu tupo busy kuitafuta shiling
 
Back
Top Bottom