Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,255
Kwani zanzibar siyo nchi?Kuna watu wanasema eti Yule ni sawa na Makonda tu. Ni mkuu wa mkoa wa Zanzibar
Watu bhana...
Kwani zanzibar siyo nchi?Kuna watu wanasema eti Yule ni sawa na Makonda tu. Ni mkuu wa mkoa wa Zanzibar
Watu bhana...
Sahihisho:Kwa mujibu ya Katiba ya Zanzibar -Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri yaShein ni rais wa Zanzibar! Zanzibar ni sehemu ya nchi ya Tanzania! Rais wa nchi ya Tanzania ni Magufuli!!
Naona kama wanatumia jeshi letu na pesa zetu... Hata huyu Shein alipata nafasi ya uongozi wao kwa maamuzi yaliyofanyika Dodoma.... Maadam amepigiwa kura, basi tusimlinganishe na mkuu wa mkoa bali Meya wa mji.Kwani zanzibar siyo nchi?
Wakikusikia wazenji watakutapikia kweli kweli.Shein siyo Rais wa nchi bali ni rais wa Zanzibar! Rais wa nchi ni Magufuli hivyo tofautisha! Zanzibar siyo nchi!
ha ha ha ha ah ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha KUMBE kweli ati?? hongera kwa kuvumbua hili.Kuna watu wanasema eti Yule ni sawa na Makonda tu. Ni mkuu wa mkoa wa Zanzibar
Watu bhana...
Mkuu wa mkoa anakagua gwaride na kupokea 21 gun salute!? Acha mzahaKuna watu wanasema eti Yule ni sawa na Makonda tu. Ni mkuu wa mkoa wa Zanzibar
Watu bhana...
Soma marekebisho ya katiba ya Zanzibar ya 2010 unajua Zanzibar ni nchi au sio nchiShein siyo Rais wa nchi bali ni rais wa Zanzibar! Rais wa nchi ni Magufuli hivyo tofautisha! Zanzibar siyo nchi!
Nadhani unajua kusoma vizuri... hebu nisome vizuri hapo chini ili ujue aliyeleta mzaha ni nani...Mkuu wa mkoa anakagua gwaride na kupokea 21 gun salute!? Acha mzaha
Kuna watu wanasema eti Yule ni sawa na Makonda tu. Ni mkuu wa mkoa wa Zanzibar
Watu bhana...
ati Zanzibar sio nchi? ungekuwa kule upande wa pili wa muungano ungewekwa lupango.Shein siyo Rais wa nchi bali ni rais wa Zanzibar! Rais wa nchi ni Magufuli hivyo tofautisha! Zanzibar siyo nchi!
Soma katba ya zanzbar na ya jamuhur ya muungano wa tzZanzibar siyo nchi na wala haitambuliwi kimataifa! Zanzibar ni sehemu ya Tanzania na inalindwa na majeshi ya Tanzania!
Aiwezekani. Una macho. Wanaitwa ADC. Kwa keo ni mrefu ni Col
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Kamtekenye kwanza uone kama atatokea au la!
Lugha hiyo sio mahali pake ukiendelea zaidi utaona vumbiYeye ni rais wa jecha
Kuna watu wanasema eti Yule ni sawa na Makonda tu. Ni mkuu wa mkoa wa Zanzibar
Watu bhana...