Live TBC1 Simiyu: Mh. Dr. Shein hana bodyguard

Live TBC1 Simiyu: Mh. Dr. Shein hana bodyguard

Nadhani unajua kusoma vizuri... hebu nisome vizuri hapo chini ili ujue aliyeleta mzaha ni nani...

Ila kukagua gwaride hata waziri wa mambo ya ndani hukagua gwaride la polisi.
Waziri anapigiwa mizinga 21??
 
Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.

Imekaaje?

Unajuaje kama hana bodyguard.Je wewe unajua jinsi bodyguard wanavyojiposition?Unamtakia nini Shein?Mkuu acha kabisa uchochezi
 
Usilete hadithi nyengine ya ukosefu wa akili.Sasa naamini asilimia kubwa ya watanganyika ni vichaa.Ikiwa hata Manji,Mengi,Daimoni wana walinzi itakuwa Dr.Shein anayo wakilisha nchi iliotowa makamu wa Rais,Mawaziri mabalozi(wa nchi za nje) na wabunge zaidi ya 70?
Muache asogeze pua akutane na wanaume .dsdadeki
 
Vichaa ni kweli wapo kila mahali.Lakini kutokana na hali ya maisha kuna mkoa unaoongoza kwa vichaa wa kujitakia.....Maana kila kitu wao wanajua
 
Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.

Imekaaje?

Kwa nini mnachokoa mambo na mengine mkiwa hamna elimu nayo?Kama una maana bodyguard ya mlinzi anayevaaa kiraia naamini wapo wengi mno na tangu gari inaingia umemwaona.
 
Ila tutofautishe mpambe wa rais na mlinzi aa rais. Kwa kawaida walinzi wankuwepo wengi tena wanavalia kiraia na silaha wanazo. Mpambe yeye ni nembo tu, anasimama pale kuonesha mamlaka ya rais! Huwa hata kisu hana na haruhusiwi kubeba silaha. Yule sio mlinzi wa rais ni mpambe tu, alama ya ukuu wa dola. Ni kama vile rSis anavyokuwa na bendera yake!
Kuhusu Shein, yeye sio mkuu wa nchi au dola, hivyo hapaswi kuwa na body gusrd au mpambe hasa anapokuwa huku bara. Kama anafanya hivyo basi ni uvunjifu mkubwa wa katiba! Nchi hii ina mkuu mmoja tu wa dola au mkuu wa nchi!
 
Shein siyo Rais wa nchi bali ni rais wa Zanzibar! Rais wa nchi ni Magufuli hivyo tofautisha! Zanzibar siyo nchi!

Wew Wapemba wakikusikia utawabeba watakwambia
1: Mbona wanaye Jecha wao
2: Mbona wana. Wimbo na bendera yao ya Taifa
3: Mbona wana Bunge Lao
4: Mbona wana Katiba yao
Sasa nani kakwambia Zanzibar ni jimbo LA uchaguzi tu?
 
Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.

Imekaaje?

Ulijua ulichokuwa una post? Au ni haraka ya kupata posho?
 
Mkuu Wa wilaya ya zenjibari
Safi sana, Mkuu wa Wilaya ya Zanzibar ambayoo ima inatoaRais wa Tanganyika nzima au inato makamo wa Raiswa Tanganyika, Mawaziri, mabalozi ( nchi za nje)na wabunge zaidi ya 70.Kweli hii ni Wilaya ya dhahabu
 
Back
Top Bottom