Live TBC1 Simiyu: Mh. Dr. Shein hana bodyguard

Live TBC1 Simiyu: Mh. Dr. Shein hana bodyguard

Shein siyo Rais wa nchi bali ni rais wa Zanzibar! Rais wa nchi ni Magufuli hivyo tofautisha! Zanzibar siyo nchi!
zanzibar ni nchi ndio maana shein anapigiwa mizinga kwenye sherehe ya mapinduzi ya zanzibar soma katiba ya zanzibar
 
zanzibar ni nchi ndio maana shein anapigiwa mizinga kwenye sherehe ya mapinduzi ya zanzibar soma katiba ya zanzibar
Kimataifa hana hata mlio wa mzinga mmoja, hupokelewa kama Mhe. Majaliwa hivi. Ndio hadhi yake nje ya EAC
 
Shein sio Rais kwa habar zaidi muulize jecha ndo anajua rais ni nani
 
Thread hii inanipa hamasa ya kuendelea kukisoma kitabu cha Afisa Usalama wa Taifa ni mtu wa aina gani? Kilichoandikwa na Evarist Chahali.

Hii taaluma ya intelijensia inanipa hanasa naiheshimu na ntaendelea kuheshimu kazi yao. Sasa naamini ninaishi kwa jeuri kwa kuwa kuna watu wanafanya kila wawezalo tuishi hivi.
 
Na kwanini hakuna uwiano katika dua zinaongozwa nawakilishwa na taasisi mbili za kikristo na taasisi moja ya kiislam.

Wenye Mamlaka ya kuwawakilisha waislam ni Baraza Kuu la Jumuia na Taasisi za Waislamu Tanzania. Kifupi (BARAZA KUU).

Taasisi ya Bakwata ambayo tawi la waislamu wanaccm limo ndani ya BARAZA KUU . Kiongozi wake akiwa Sheikh Alhajj Kundecha .
 
Unawajua walinzi wa shein wewe?

Kwa kweli ni wazi kuwa wachangiaji wengi humu JF uwezo wa kuchanganua mambo ya msingi ni mdogo. Yahani ukiangalia tu hapo aliyesimama nyuma Dr.SHEIN unajua ni nan?? Au kwa kuwa uyo aliye simama nyuma na kubeba FILE la Dr.Shein amebadili mavazi ambayo ambayo mmeyazoea kuyaona?? Pia naye Dr.Shein yuko katika muonekano tofauti na mliouzoea. Jamani, jaribuni kujadili mambo yeye maana.
 
Kuna watu wanasema eti Yule ni sawa na Makonda tu. Ni mkuu wa mkoa wa Zanzibar

Watu bhana...

Sasa kama ndiyo hivyo ina maana hata Maalim alikuwa analilia awe sawa na Makonda?
 
Back
Top Bottom