Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,025
Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.
Imekaaje?
Imekaaje?
Shein siyo Rais wa nchi bali ni rais wa Zanzibar! Rais wa nchi ni Magufuli hivyo tofautisha! Zanzibar siyo nchi!Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.
Imekaaje?
Ndiyo, ni jirani yetu.Unamjua bodyguard wa Shein?
Nimeamini kweli vichaa wapo wengiWanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.
Imekaaje?
Kamtekenye kwanza uone kama atatokea au la!Wanabodi si kawaida kwa rais wa nchi kukaa bila bodyguard wake. Lakini hapo Simiyu naona Mh. rais wa ZNZ kakaa na mkuu wa mkoa na kulia kuna Mh. Jenister Mhagama.
Imekaaje?
Amesimama, yupo.Kamtekenye kwanza uone kama atatokea au la!
Usilete hadithi nyengine ya ukosefu wa akili.Sasa naamini asilimia kubwa ya watanganyika ni vichaa.Ikiwa hata Manji,Mengi,Daimoni wana walinzi itakuwa Dr.Shein anayo wakilisha nchi iliotowa makamu wa Rais,Mawaziri mabalozi(wa nchi za nje) na wabunge zaidi ya 70?Shein siyo Rais wa nchi bali ni rais wa Zanzibar! Rais wa nchi ni Magufuli hivyo tofautisha! Zanzibar siyo nchi!