Live.......Tanzania Vs Sudan !!!!!!!!!!!! & CECAFA

nakwambia hawa ndugu zetu wanajua kila kitu.

wanajua kama wazanzibari watu wazuri, ukimkuta mbongo asiependelea atakwambia mie nnafurahishwa sana na watendaji wa serikali kutoka zanzibar.

anza na marehemu dr omar ali juma, mzee mwinyi, na wengine hata huyu sheni utaona wanafanya kazi kiudhati kuitumikia nchi tabu kumkuta mzanzibari tamaa kama kina karamag i na wenziwe tokea tulivyoanza akina othman sharif abrahman babu thabit kombo na wengi tumetumikia serikali ya mungano bila ya kuwadhulumu au kuiibia na wanajua.

ila kwa kuwa tunapenda uadilifu ndio wanatudharau na kutuona tumelegea.

lkn ukweli wanaujua kuwa ss ni watu makini ila wanatubania.


na tukipata hivi vijifursa watakoma urais wamemnyima mzee salim hii nchi ingekuwa mbali lkn ndio hivyo wee acha tu

Mtu wa Pwani,

ni watanzania wachache sana (waliozaliwa baada ya mwaka 1964) wanaofikiria vibaya hivyo kuhusu watu wa visiwani au bara. Nadhani haitakuwa generalization nzuri kutumia waliyofanya ccm (kumzima Dr Salim kuwa rais) na kusema kuwa watanzania wote hawapendi watu wa visiwani.

Maazimio ya ccm siku za karibuni sio kwa manufaa ya watanzania wengi ndio maana nilipigana sana na Mchambuzi hapa na kampeni zake kuwa rais ajaye lazima awe mkristo!
 
Hivi huyu jamaa analipwa kiasi gani vile. Kama kumbukumbu zangu ni sahihi nilisikia yuko kwenye 600 000 US$ kwa mwaka. Je ya kweli haya? Kwa mtaji huo mpaka qualification za world cup ziishe atakuwa amesomba US$2.4 million (2.8 Billion Tshs) na RSA World Cup 2010 hatutaenda.
 
SAS alibaniwa na Wazanzibari wenzake, mtandao wakacapitalize kwenye hilo.

Nawatakia mafanikio mema is it Mapinduzi Boys au Zanzibar Heroes?
 
Huyu Maximo ni FISADI soka m-bishi, mkaidi, haambiliki na jeuri. Wadau mara kadhaa wamemshauri awaongeze akina Machupa na Kaseja yeye ajajitia ungangari sasa kiko wapi?
 
Hivi huyu jamaa analipwa kiasi gani vile. Kama kumbukumbu zangu ni sahihi nilisikia yuko kwenye 600 000 US$ kwa mwaka. Je ya kweli haya? Kwa mtaji huo mpaka qualification za world cup ziishe atakuwa amesomba US$2.4 million (2.8 Billion Tshs) na RSA World Cup 2010 hatutaenda.

Khe khe khe.......... hizo ndizo tuliambiwa analipwa tena kwa siri hata halipi kodi. Tukasema angalau wangetumia kwenye grassroots kuendeleza vipaji kwenye michezo mbali mbali lakini jamaa wanaona ni bora azitafune huyu Mbrazil (Mbabaishaji). wabongo bwana wamenichosha kabisa bora mgeni ashibe kuliko uzalendo.
 
SAS alibaniwa na Wazanzibari wenzake, mtandao wakacapitalize kwenye hilo.

Nawatakia mafanikio mema is it Mapinduzi Boys au Zanzibar Heroes?[/QUOTE]

yote hayo ni majina ya timu yetu ila sana tunawaita zanzibar heroes lkn na jingine linatumika
 
Maximo mjanja kesha jichanganya na kwa kuwa kaletwa na msanii JK kesha kuwa msanii pia ukitaka kujua haya angalia anavyo sema hovyo kwenye TV. Yeye pia anapenda media kama Boss wake JK . Tanzania bwana ni kichekesho kila mahali sijui wapi siasa utaachwa ili watu wafanye kweli .
 
Maximo mjanja kesha jichanganya na kwa kuwa kaletwa na msanii JK kesha kuwa msanii pia ukitaka kujua haya angalia anavyo sema hovyo kwenye TV. Yeye pia anapenda media kama Boss wake JK . Tanzania bwana ni kichekesho kila mahali sijui wapi siasa utaachwa ili watu wafanye kweli .

mbona mnaulumu sana maximo, hamuoni kuwa wachezaji hawana viwango? hivi nani ana uwezo wa kugeuza shaba dhahabu?


kuutaka uongofu bila ya kufata njia zake ni sawa na kulitaka jahazi kutembea nchi kavu
 
mbona mnaulumu sana maximo, hamuoni kuwa wachezaji hawana viwango? hivi nani ana uwezo wa kugeuza shaba dhahabu?


kuutaka uongofu bila ya kufata njia zake ni sawa na kulitaka jahazi kutembea nchi kavu

Kama mnamuhusudu mchukueni awe kocha wenu. Kwi kwi kwi kwi.............................................
 
Nadhani walitakiwa wapelekwe Bungeni kwanza kabla ya kwenda kushiriki mashindano na pia walitakiwa wapewe dinner na JK pale Ikulu.
 
Kama mnamuhusudu mchukueni awe kocha wenu. Kwi kwi kwi kwi.............................................

Dua..........

sisi miaka nenda miaka rudi timu yetu inafundishwa na makocha WAZALENDO,WAZANZIBARI HALISI,WANA KINDAKINDAKI,MA-AR-BAAB WA KIZANZIBARI. Safari hii timu inafundishwa na mheshimiwa naibu katibu mkuu WIZARA YA UTAWALA BORA ZANZIBAR

MHESHIMIWA ABDUL GHANI MSOMA​
 
Dua..........

sisi miaka nenda miaka rudi timu yetu inafundishwa na makocha WAZALENDO,WAZANZIBARI HALISI,WANA KINDAKINDAKI,MA-AR-BAAB WA KIZANZIBARI. Safari hii timu inafundishwa na mheshimiwa naibu katibu mkuu WIZARA YA UTAWALA BORA ZANZIBAR

MHESHIMIWA ABDUL GHANI MSOMA​

kule uzalendo ni jadi.

naibu katibu kaacha ofisi kwa kutetea taifa.

yuko anaenda mbio na vijana kwa kuleta hadhi ya taifa sio kuangalia ntapata ngapi
 
Sudan reach Cecafa final

By Emmanuel Muga BBC Sport said:

Abdelhamid Amerria scored one goal and set up the other as Sudan beat hard-fighting Burundi 2-1 to reach the Cecafa Challenge Cup final in Tanzania.

Sudan will face the winner of Thursday's semi between Uganda and Rwanda in the final on Saturday. The Sudanese opened the scoring after just two minutes as Amerria ran down the right before crossing for Salfedin Al Idris to find the target. Burundi responded by pushing forward relentlessly and 10 minutes later Claude Nahimana powered his way through a forest of Sudanese defenders before unleashing a powerful shot from inside the area to draw level.

Ammeria restored Sudan's lead on the stroke of half-time with a powerful shot from just inside the box after being set up by Al Idris. The goal took Amerria's tally to five for the tournament, making him the leading scorer at Cecafa. Burundi created several chances in the second half but were unable to convert any of them, much to the disappointment of their fans, who had made the long journey to Dar es Salaam.

Sudan reached last year's Cecafa final in Ethiopia, where they lost to guest team Zambia - who were only allowed to take him the prize money leaving the Sudanese with the trophy. After the match Sudan coach Tagel Abbas was confident his side could go all the way. "I have watched Rwanda and Uganda play, whoever goes through, we will beat them like we have done Burundi," he said.
 
Back
Top Bottom