Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,755
Mkuu Bala unaua taifa zima kwa hivi vijembe...
du!!
Hapana mkuu wangu.....
Ndio raha ya utani hiyo.......
Wanajuta kwa nini waliwauza Mbwana Samatta na Patrick Ochan TPME na kusuasua kumuongezea mkataba Hilary Echesa mpaka akatimka kwao Kenya......
Unajua jamaa walibakiwa na wachezaji 17 tu....................