ni makosa sana kuweka matumaini kwenye timu ya bongo inapocheza na outsiders,.. kilichopo ni kungoja tu matokeo yeyote usije ukafa na presha bule
Ahahahahaaah!! Hii inaweza kusaidia tukafanikiwa.Dah yani tunaumiza vidole wao wanaona zile safari ni Holiday sio????? sio Kazi sasa mie naona tutaanza za zamani za kuchuma Mianzi nakutandika Kuanzia Airport pale fimbo. tushachoka.
Jamani turudi kwenye mijadala mingine ya kulijenga taifa! Hata hamu ya kula sina looo!!!
Nasikia kwamba Simba SC wanajiandaa kukata rufaa tena . . . .
Safari hii watahoji "Kwanini tutolewe na timu za DRC mara mbili mfululizo . . . .tena ndani ya miezi michache" . . lolz
Maana mabao ya TP Mazembe plus ya DC Motema Pembe jumla ni 8
Ahahahaaah!! Hii ni post ya ajabu kwa siku ya leo.....Hii yote minuksi ya maandamano ya cdm na bado.
Hii yote minuksi ya maandamano ya cdm na bado.
We mgonjwa bado upo? Mwenzio MS anapata nafuu,vp unaendeleaje na kkkkhhharrriii!!!Hii yote minuksi ya maandamano ya cdm na bado.
Ni muhimu kujipa matumaini...Mbona rediona nasikia wanaenda matuta!
Nasikia kwamba Simba SC wanajiandaa kukata rufaa tena . . . .
Safari hii watahoji "Kwanini tutolewe na timu za DRC mara mbili mfululizo . . . .tena ndani ya miezi michache" . . lolz
Maana mabao ya TP Mazembe plus ya DC Motema Pembe jumla ni 8
Rage anaandaa taratibu za rufaa . . . .
Invisible upooooo??!!!
Njoo umsaidie Rage . . . .
Simba kabon'goa! Motema kamtia d***
Mkuu mbona unaanza kejeli tena.
Tujitoe japo kwa muda kwenye mashindano ya kimataifa...Bado kama dk 8 mpira uishe. Magoli bado 2-0.Sioni dalili za goli kwa Simba.Inabidi sasa tuandae maandamano nchi nzima kudai timu zetu zifunge magoli..... Nitawasiliana na Mhe Lema baada ya hizi updates.
Hii yote minuksi ya maandamano ya cdm na bado.