Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Kwa ulivyowacheki wapinzani wa Yanga katika hatua ya awali na wa Simba katika hatua ya pili ni nani kupenya kirahisi?
Yanga (Tanzania) vs ASAS FC (Djibouti)
Mshindi hapo kukutana na mmoja kati ya hawa
AS Otoho vs Al Merrikh
Majirani zao Simba wao katika hatua ya pili watamsubiri mshindi kati ya hawa Power Dynamos (Zambia) vs African Stars (Namibia)
FUNGUKA MDAU JF
'
Yanga (Tanzania) vs ASAS FC (Djibouti)
Mshindi hapo kukutana na mmoja kati ya hawa
AS Otoho vs Al Merrikh
Majirani zao Simba wao katika hatua ya pili watamsubiri mshindi kati ya hawa Power Dynamos (Zambia) vs African Stars (Namibia)
FUNGUKA MDAU JF
'