Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,852
Amejibu yeye wala si mimi niliyesema hayo!
Naelewa na Mimi Namjibu huyo Ndugai!
Amejibu yeye wala si mimi niliyesema hayo!
Naelewa na Mimi Namjibu huyo Ndugai!
Nipo namuangalia Job Ngugai aka kiboko wa chadema.
Maada. Vurugu bungeni ni kupwaya kwa sheria/kazini?
Mnyika kapiga chembe ya moyo kuhusu mchakato wa katiba.
Angalizo: Star TV ni mali ya Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Mwanza. Hata watangazaji HUENDA wakaegemea msimamo wa kisiasa wa bosi wao
Angalizo la kijinga hili
Jamaana etu ndugai hataki mnyika aongee hata