Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,715
- 20,472
kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku comment hivi
Nikombali na tv ivyo ningependa coverage yako, lakini sikuamini kutokakana na michango yako hapa jf. You are not neutral.
Jk muhuni mbona rais kila hotuba ni malalamiko tuuu hana solution? Mbona hasemi nani anastahili kuchinja? Analinda katiba ipi???
Viongozi wa dini zote wakutane na kuizungumzia hali hii
Mpumbavu tu ndiye atakayekataa serikali ya CCM chini ya Kikwete inahusiska moja kwa moja na haya yanayoendelea nchini
Hongera JK umewafahamisha hawa watu ambao hawaitakii mema nchi yetu.
kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku comment hivi
Sema Viongozi wa dini na Viongozi wa Ugaidi {ILUNGA} wakutane.
wewe kifua chako kimejaa chuki na husuda uliyopandikizwa na wajinga wenzako huko ndio mana unaendekeza mambo ya kijinga..hili taifa linakutegemea na linategemea mchango wako.. Amani ya tanzania inategemewa kuwepo kwa mchango wako lakini kwa jinsi unavyoonekana, wewe ni adui wa tanzania
Rais hawezi kuwa muhuni wewe umeamua kutumika kumvunjia heshima rais.
kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku comment hivi