Nasikia nchi yako isiyokuwa na huo ugonjwa imeizidi maendeleo Ufaransa!!Wafaransa wanaugonjwa mkuu mmoja tu kupenda sex na kwao promiscuity sio kigezo cha kumnyima mtu madaraka upo hapo? Sasa hebu Angalia tofauti ya umri Kati ya rais Macron na mkewe utapigwa butwaa !
Bongo ipi thubutuu yaan iyo cku ntakutembezea virungu vya ugoko mpaka ujute kuzaliwakuna watu wanatamani kinachotokea sasa hivi huko Paris kingekuwa kinatokea bongo
View attachment 960404
View attachment 960229
===
Fuatilia mwenyewe.
---
Ubelgiji nako si shwari...70 wakamatwa.
70 detained in Brussels
The spirit of the Yellow Vests demonstrations has even reached neighboring Belgium.
Yellow vests' protest in Brussels © Reuters
At least 70 people were detained in Brussels this Saturday. Protesters gathered in Arts Lois and Porte de Namur districts in the center of the city. Police said the detentions were merely a “preventive measure.”
Duh wana mzigo mzito Sana hawa jamaa wanaishi kwa mahesabu sana nadhani mahesabu yame kwenda fyongo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fundi25
Malipo ni hapa hapa duniani, nafkiri akili zao zitakaa sawa
Heheheheheye dahMaboya hao sasa tutabetije
Asady shangwe to now Damascus[emoji23][emoji23]Nilikuwa natafuta sababu za kuahirishwa mechi za Ufaransa... Kumbe kimenuka
Vurugu zao hawashiki bunduki na mabomu, wanaandamana na kuchoma magari barabarani yani si vurugu zinazoweza kuleta vita na viongozi rahisi kuondoka madarakani na kila kitu kinarudi kama kawaidaWazungu wamezoea
Hii ni laana...wazungu wamezoea kuchochea vurugu kwingine...sasa yamewakuta...wamechochea Libya, Iraq, Syria, Venezuela, Ukraine na kadhalika ...sasa yamewakuta....huu ni mwanzo tu....Marekani nako yatatokea haya...Europe na the USA will collapse