Hon. Aikambe
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 443
- 70
Chadema imeshakufa
Sasa hata jinsia yako huijui,, watu kama nyie mnaishi kimakosa tu
Chadema imeshakufa
Kuna mtu kanisimamisha mitaa ya Kijitonyama. Akaniambia "braza najua wewe uko kwenye mambo ya siasa, naomba nikuulize swali".
Nikamwambia kama mambo ya kuhusu Zitto kawaulize Chadema wenyewe.
Akasema sio hivyo.
Nikamwambia uliza.
Akaniuliza "hivi kwanini Chadema Arusha wamechoma ofisi yao?"
Nikamwambia mimi sijui, ila nimesikia wameitisha mkutano wa hadhara. Kwavile mkutano huo walianza kuuandaa kabla ofisi haijaungua na kwavile wamesema mkutano huo unahusu kuungua kwa ofisi, basi tusubiri labda watatangaza sababu ya kuiunguza hiyo ofisi.
Nikamwambia kwanini umeulizia ofisi ya Chadema?
Akasema kwa sababu kama miezi miwili iliyopita alitoa mchango wa kujenga ofisi ya Chadema, sasa anahofia kama ofisi zenyewe baadae Chadema inaziunguza basi pesa yake itapotea bure.
Nikamwambia asihofu, Arusha tatizo ni Lema tu. Otherwise mikoa mingine hakuna mkakati wa kujiunguzia ofisi.
Kama kuna mdau mwenye jibu naomba tumsaidie huyu mwananchi.
kwani kampeni zimeanza?
Pamoja na siasa, mwogope Mungu...fanya suluhisho na Mungu wako mapema, vinginevo utawiwa jambo naye