senator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 1,924
- 66
Kwa kweli huyu bwana sio mwana siasa kabisa hajui kupangilia hoja na vile vile hana facts za anachokizugumza labda anaweza kufanya lobbing tu..nilimwona akiongea vitu visivyo na data wala mashiko katika muda wote aliopewa badala ya kuongelea mambo mengine yakiwemo ajira za wananzega yeye kang'ang'ana na mgodi eti Alex sterwart wanalipwa 1.9% wakati hwa watu hapo kwa sasa..Kwa kifupi hakuwa na hoja zenye mashiko zaidi ya blah blah afu alikuwa anazungumza kama mbunge wa upinzani vile!! naona hawa ndo wale wanaitwa MANYUKA....(ugeni bungeni)