M
Mkapa anauchapa usingizi au ndo anatafakari? Jk anasema kuna watu hawalali kutaka kuifitinisha serikali yake na nchi za nje ambako anasema Tanzania inang'ara
Mbona huyu Cheyo anachekacheka tu?
Mbona huyu Cheyo anachekacheka tu?
JK naona anamsema Dr Slaa, kwamba eti alienda nje baada ya kushindwa kusema Mwembeyanga???? Sasa anachemsha kusema vyama vya siasa, na sasa anawaita wanasiasa wachovu
Kamsema openly, na pia kasema kuna viongozi wengine wanapenda majina yao yatoke tuu kwenye magazeti kila siku