Live ITV mada: Bajeti ya 2012/2013 je imekidhi matarajio ya wengi??

Dr. Mwakyembe aunga mkono bajeti, awakebei wapinzani na awafananisha na mashabiki wasiojua wa mpira wanaopenda kukosoa wakiwa nje ya uwanja.
 

Kuwekeza kivipi?
Kilimo kinahitaji efficiency ya hali ya juu. Na huwezi kuongelea efficiency bila kuhusisha energy.
Umesema mazao yanakosa soko, si wakulima wangetembea na magunia yao mpaka sokoni? .... swala la energy linahusika hapa pia.
Kwa idadi ya watu wanaoshiriki kilimo, tunazalisha kidogo mno, wenzetu walioendelea (ahum! ahum!) ni asilimia chache tu ya wakulima wao wanaweza kuwalisha.
Kama mafuta yangekuwa nusu ya bei ya sasa, maisha yangekuwa ahueni kwa watu wengi tu na bei za bidhaa zingekuwa chini pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…