PreGE2025 Live from JNCC: Kikao kazi cha Msajili wa Vyama vya Siasa na Jukwaa la Wahariri, kuelekea uchaguzi mkuu 2025

PreGE2025 Live from JNCC: Kikao kazi cha Msajili wa Vyama vya Siasa na Jukwaa la Wahariri, kuelekea uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,102
Reaction score
128,716
Wanabodi

Jumamosi ya leo, nimeanzia, ukumbi wa JNCC, kwenye kikao kazi cha Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi, na Wahariri wa Vyombo vya Habari na Jukwaa la Wahariri (TEF), kuelekea uchaguzi mkuu 2025!.

NB: Kumbe Kikao hiki ni Strictly Confidential!, hivyo nitawapa briefing, baada ya kikao.

Asanteni sana.

Paskali
 
Wanabodi

Jumamosi ya leo, nimeanzia, ukumbi wa JNCC, kwenye KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, JAJI FRANCIS MUTUNGI, NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI NA JUKWAA LA WAHARIRI TEF, KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025!.

NB: Kumbe Kikao hiki ni Strictly Confidential!, hivyo nitawapa briefing, baada ya kikao.

Asanteni sana.

Paskali
Wasabato tuko kanisani
 
Wanabodi

Jumamosi ya leo, nimeanzia, ukumbi wa JNCC, kwenye KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, JAJI FRANCIS MUTUNGI, NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI NA JUKWAA LA WAHARIRI TEF, KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025!.

NB: Kumbe Kikao hiki ni Strictly Confidential!, hivyo nitawapa briefing, baada ya kikao.

Asanteni sana.

Paskali

Inakuwaje Kikao kama hicho tena kwenye ukumbi mkubwa kama huo kiwe confidential....!?
 
Wanabodi

Jumamosi ya leo, nimeanzia, ukumbi wa JNCC, kwenye KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, JAJI FRANCIS MUTUNGI, NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI NA JUKWAA LA WAHARIRI TEF, KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025!.

NB: Kumbe Kikao hiki ni Strictly Confidential!, hivyo nitawapa briefing, baada ya kikao.

Asanteni sana.

Paskali
Mkuu kutakua na kumuuliza maswali Msajili au anahutubia tu na kuondoka?
 
Wanabodi

Jumamosi ya leo, nimeanzia, ukumbi wa JNCC, kwenye kikao kazi cha Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi, na Wahariri wa Vyombo vya Habari na Jukwaa la Wahariri (TEF), kuelekea uchaguzi mkuu 2025!.

NB: Kumbe Kikao hiki ni Strictly Confidential!, hivyo nitawapa briefing, baada ya kikao.

Asanteni sana.

Paskali
Na Leo unatuwakilisha wana jf ama!!
 
Nasubiri kumsikia Balile kama atatumia ile style ya uulizaji maswali aliyokaitumia kwa Tundu Lissu siku anawafanyia mahojiano wagombea nafasi ya uenyekitu Chadema, akimuuliza Lissu kama yuko tayari kijiuzulu? Sasa leo aulize kwa style ile kwa Mutungi.
 
A person toothache means more to him than a famine in China

Msajili wa vyama cha muhimu kwake ni ugali zaidi kuliko maslahi ya Watanzania

Wanahabari wote cha muhimu zaidi kwao ni mshara kuliko habari zenyewe

Binadamu ndivyo tulivyo

Sitegemei habari tofauti na vitisho vya kuifuta Chadema as if Chadema ni magaidi
 
Wanabodi

Jumamosi ya leo, nimeanzia, ukumbi wa JNCC, kwenye kikao kazi cha Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi, na Wahariri wa Vyombo vya Habari na Jukwaa la Wahariri (TEF), kuelekea uchaguzi mkuu 2025!.

NB: Kumbe Kikao hiki ni Strictly Confidential!, hivyo nitawapa briefing, baada ya kikao.

Asanteni sana.

Paskali
Kama ni Confidential huenda hata hayatuhusu.
 
Ndo ujuha wa mtungi na ccm yake
Huo ni ujuha wa Pasco ,wewe unakubaliana naye jambo la siri uwaite waandishi uongee nao.Ili iweje.sema tu hii ni Lugha ya kiuandishi anataka swala lake liwe na tension kubwa masikioni kwa watu zaidi ya hapo hakuna unyeti wowote.
 
Wanabodi

Jumamosi ya leo, nimeanzia, ukumbi wa JNCC, kwenye kikao kazi cha Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi, na Wahariri wa Vyombo vya Habari na Jukwaa la Wahariri (TEF), kuelekea uchaguzi mkuu 2025!.

NB: Kumbe Kikao hiki ni Strictly Confidential!, hivyo nitawapa briefing, baada ya kikao.

Asanteni sana.

Paskali

Mayala, kwenye umri huo hutakiwi kuwa mwongo!! Unatia huruma sana!!

Kama hujui mpaka umri huo, basi zingatia machache yakusaidie:

1. Hakuna kikao confidential ambacho huwa wanaalikwa wanahabari.

2. Mwanahabari akialikwa kwenye kikao chochote kile, lengo linakuwa aujulishe umma.

Ndiyo maana kukiwa na kikao chochote, halafu kikawa na sehemu 2, moja ni for public na nyingine ni confidential, wakiingia tu kwenye confidential part, wanahabari wanaombwa kuondoka.

Uwe mkweli, labda mmeitwa kwenda kuhongwa ili msiandike chochote juu ya watu wanaotekwa, wanaouawa au jambo lolote linalohusu haki. Bila shaka mmeitwa ili kutengeneza strong bond na mashetani.
 
Back
Top Bottom