LIVE:Breaking news:CHARLES TAYLOR SENTENCING

LIVE:Breaking news:CHARLES TAYLOR SENTENCING

Aliyekuwa raisi wa liberia amehukumiwa miaka 50 jela kutokana na makosa ya kivita ktk mahakama ya umoja wa kimataifa hague
source:B.B.C
 
Ni Charles Taylor Rais wa zamani wa Liberia! kwa makosa mbalimbali ikiwemo Unyama wa kivita na matumizi mabaya ya mamlaka na kutumia watoto vitani na Usafirishaji wa Dirty Diamonds!
 
hukumu imeshasomwa kitambo kafungwa miaka 5o ingawa waendesha mashtaka walitaka afungwe miaka 80
cha kushangaza habari ya TBC mchana huu wanatudanganya eti mahakama hiyo itatoa hukumu baadae hii leo
hiyo baadae ni saa ngapi? inakuwaje chombo cha taifa hakitumii mtandao kutafuta taarifa sahihi
shame on them, nimesikiza mchana huu taarifa ya habari ya 7.
bora ibinafsishwe wapewe watu wenye uwezo wa kuindesha.
 
Thanks mkuu,mvua 50 si mchezo bado huyu dogo anayependekeza wenyeviti wa ulinzi na usalama wa raia(ma dc) ashikishe adabu na acampo!

Ocampo usistaafu subiri mpaka 2016 uwashikishe adabu hawa mabazazi ya kwetu huku.

Ocampo kesha ajiriwa na FIFA kuchunguza ufisadi ndani ya FIFA.
 
hukumu imeshasomwa kitambo kafungwa miaka 5o ingawa waendesha mashtaka walitaka afungwe miaka 80
cha kushangaza habari ya TBC mchana huu wanatudanganya eti mahakama hiyo itatoa hukumu baadae hii leo
hiyo baadae ni saa ngapi? inakuwaje chombo cha taifa hakitumii mtandao kutafuta taarifa sahihi
shame on them, nimesikiza mchana huu taarifa ya habari ya 7.
bora ibinafsishwe wapewe watu wenye uwezo wa kuindesha.

Hadi leo unategemea TBC kwa habari km hizi!
 
hukumu imeshasomwa kitambo kafungwa miaka 5o ingawa waendesha mashtaka walitaka afungwe miaka 80
cha kushangaza habari ya TBC mchana huu wanatudanganya eti mahakama hiyo itatoa hukumu baadae hii leo
hiyo baadae ni saa ngapi? inakuwaje chombo cha taifa hakitumii mtandao kutafuta taarifa sahihi
shame on them, nimesikiza mchana huu taarifa ya habari ya 7.
bora ibinafsishwe wapewe watu wenye uwezo wa kuindesha.

Kwa kweli mkuu vyombo vyetu vya habari vinatia aibu, naona bado tupo nyuma sana, hii kesi mimi nimeiona live kupitia KTV ya kenya, tena nimeiona online, sisi sijui kama tuna tv ya kwetu unayoweza kuipata online na ambayo inaweza kuonesha matukio makubwa duniani kama haya, kwa kweli wakenya wanajitahidi sana kwenye tasnia ya habari
 
Kwa kweli mkuu vyombo vyetu vya habari vinatia aibu, naona bado tupo nyuma sana, hii kesi mimi nimeiona live kupitia KTV ya kenya, tena nimeiona online, sisi sijui kama tuna tv ya kwetu unayoweza kuipata online na ambayo inaweza kuonesha matukio makubwa duniani kama haya, kwa kweli wakenya wanajitahidi sana kwenye tasnia ya habari

Free TV inayopatikana online ya Bongo ni Clouds TV ambayo inapiga bongo fleva 24/7
 
[h=1]Charles Taylor sentenced to 50 years in prison for war crimes[/h]Judge at court in The Hague says ex-Liberia president's crimes were of the 'utmost gravity in scale and brutality'




Liberian-ex-president-Cha-005.jpg
Liberian ex-president Charles Taylor listens to the judge passing his sentencing at the court in The Hague. Photograph: Toussaint Kluiters/Pool/EPA

Judges at an international war crimes court have sentenced Liberia's former president Charles Taylor to 50 years in prison for war crimes during the long-running civil war in Sierra Leone.
Taylor was found guilty last month of 11 counts of aiding and abetting war crimes and crimes against humanity by supporting rebels between 1996 and 2002 in return for conflict diamonds. He was convicted of offences including murder, rape, sexual slavery, recruiting child soldiers, enforced amputations and pillage.
Delivering the sentence on Wednesday, Judge Richard Lussick said Taylor's crimes were of the "utmost gravity in terms of scale and brutality".
The Special Court for Sierra Leone (SCSL) in The Hague cannot impose capital punishment or life imprisonment but prosecutors had called for Taylor to be given an 80-year prison term.
The 64-year-old warlord-turned-president is the first former head of state convicted by an international war crimes court since the second world war.
Taylor's sentence is likely to be served in the UK, which has offered to take him once his trial and appeal are completed. The civil war left more than 50,000 dead in the west African state.
Taylor's defence lawyers have told the court that exiling him to Britain's jails – where a Serbian war crimes convict was attacked in his cell two years ago – would leave him "culturally isolated" and constitute a "punishment within a punishment".
In an interim sentencing hearing, the court's chief prosecutor, Brenda Hollis, a former US military prosecutor, said: "[His] positions both as president of Liberia and within the west African regional bodies distinguish him from any other individual that has appeared before this court. Taylor's abuse of his authority and influence is especially egregious given that west African leaders repeatedly entrusted him with a role to facilitate peace."
In his final address to the UN-backed tribunal in The Hague, the 64-year-old denied encouraging human rights abuses during the prolonged civil war in neighbouring Sierra Leone, insisting he had in fact been trying to stabilise the region.
The court should deliver its sentence in a spirit of "reconciliation, not retribution", said Taylor, who offered no admission of wrongdoing or words of remorse. "I express my sadness and sympathy for crimes suffered by individuals and families in Sierra Leone," he told the panel of judges at the SCSL.
"What I did to bring peace to Sierra Leone was done with honour. I was convinced that unless there was peace in Sierra Leone, Liberia would not be able to move forward. I pushed the peace process hard, contrary to how I have been portrayed in this court."


 
Charles Taylor sentenced to 50 years in prison for war crimes

Judge at court in The Hague says ex-Liberia president's crimes were of the 'utmost gravity in scale and brutality'




Liberian-ex-president-Cha-005.jpg
Liberian ex-president Charles Taylor listens to the judge passing his sentencing at the court in The Hague. Photograph: Toussaint Kluiters/Pool/EPA

Judges at an international war crimes court have sentenced Liberia's former president Charles Taylor to 50 years in prison for war crimes during the long-running civil war in Sierra Leone.
Taylor was found guilty last month of 11 counts of aiding and abetting war crimes and crimes against humanity by supporting rebels between 1996 and 2002 in return for conflict diamonds. He was convicted of offences including murder, rape, sexual slavery, recruiting child soldiers, enforced amputations and pillage.
Delivering the sentence on Wednesday, Judge Richard Lussick said Taylor's crimes were of the "utmost gravity in terms of scale and brutality".
The Special Court for Sierra Leone (SCSL) in The Hague cannot impose capital punishment or life imprisonment but prosecutors had called for Taylor to be given an 80-year prison term.
The 64-year-old warlord-turned-president is the first former head of state convicted by an international war crimes court since the second world war.
Taylor's sentence is likely to be served in the UK, which has offered to take him once his trial and appeal are completed. The civil war left more than 50,000 dead in the west African state.
Taylor's defence lawyers have told the court that exiling him to Britain's jails – where a Serbian war crimes convict was attacked in his cell two years ago – would leave him "culturally isolated" and constitute a "punishment within a punishment".
In an interim sentencing hearing, the court's chief prosecutor, Brenda Hollis, a former US military prosecutor, said: "[His] positions both as president of Liberia and within the west African regional bodies distinguish him from any other individual that has appeared before this court. Taylor's abuse of his authority and influence is especially egregious given that west African leaders repeatedly entrusted him with a role to facilitate peace."
In his final address to the UN-backed tribunal in The Hague, the 64-year-old denied encouraging human rights abuses during the prolonged civil war in neighbouring Sierra Leone, insisting he had in fact been trying to stabilise the region.
The court should deliver its sentence in a spirit of "reconciliation, not retribution", said Taylor, who offered no admission of wrongdoing or words of remorse. "I express my sadness and sympathy for crimes suffered by individuals and families in Sierra Leone," he told the panel of judges at the SCSL.
"What I did to bring peace to Sierra Leone was done with honour. I was convinced that unless there was peace in Sierra Leone, Liberia would not be able to move forward. I pushed the peace process hard, contrary to how I have been portrayed in this court."


 
Judges at an international war crimes court have sentenced former Liberian President Charles Taylor to 50 years in prison following his landmark conviction for supporting rebels in Sierra Leone in return for blood diamonds.
 
Hatimaye aliyawahi kuwa raisi wa liberia ndugu charles taylor baada ya kutiwa hatiani na mahakama ya kimataifa ya haki za binadamu, leo hii amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka hamsini (50) gerezani.

Suala la kutafakari hapa ni, je adhabu aliyopewa inalingana na kosa alilolifanya kwa nchi na raia wa liberia kwa ujumla?

Je angekuwa ni kiongozi wa nchi za magharibi kama vile marekani angetiwa hatiani na kupewa adhabu hiyo?

Je mahakama hii ya kimataifa ni kwa ajili ya viongozi wa kiafrika tu?

Je kuna haja ya watu wanaotuhumiwa kwa makosa kama ya charles taylor kufunguliwa mashtaka katika mahakama za nchi husika?

Mapendekezo/maoni/ushauri/mitazamo yenu ni muhimu sana.
 
Back
Top Bottom