K KALENDA Member Joined Jan 21, 2011 Posts 72 Reaction score 28 Nov 5, 2014 #2 Walikuwa wanasalimiana !.Tanzania si mchezo rushwa haitoisha kama msimamizi wa sheria ndio anafanya hivyo je raia wa kawaida atafanyaje?.
Walikuwa wanasalimiana !.Tanzania si mchezo rushwa haitoisha kama msimamizi wa sheria ndio anafanya hivyo je raia wa kawaida atafanyaje?.
kabanga Platinum Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,572 Reaction score 18,944 Nov 5, 2014 #3 Hapo wazi kabisa....
NAPITA JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,077 Reaction score 2,249 Nov 5, 2014 #4 Nasikia ndo zao hizo huko mitaani.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 368,884 Reaction score 853,429 Nov 5, 2014 Thread starter #5 NAPITA said: Nasikia ndo zao hizo huko mitaani. Click to expand... Wala hazina kificho kuna mmoja namvizia kila siku pale big brother namkosakosa ila atanasa tuu
NAPITA said: Nasikia ndo zao hizo huko mitaani. Click to expand... Wala hazina kificho kuna mmoja namvizia kila siku pale big brother namkosakosa ila atanasa tuu