Kachemsha leoKatarina huwa yupo vizuri
Mkuu, unafuatilia wapi na mie nifuatilie?Hahaha ha mm pia nafuatilia hamna kitu
Sema tenaazam EID KOMEDI GALA (updates)
- Wajuvi wa mambo ninafatilia hii event naona hawa komedian wanalazimisha kuchekesha..ni aibu nmegawa marx kama ifuatavyo
.mau fundi= 27
.pepe= 32 katarina 17
still naendelea kufatilia ntawajuza wajuvii wa mambo
Pilipil kipaj yuko pw sanaaacrdts to mc mpilipili kajitahidi kias chake japo anatumia nguvu nying kwa ufupi anachekesha kwa kutumia nguvu nyng...HANA KIPAJI IN SHORT
Azam tvWekeni link mnafikiri wote tupo bongo?