LIVE: AC Milan VS Barca...World successfully VS World entertainer

LIVE: AC Milan VS Barca...World successfully VS World entertainer

kule kulia kuna Dani Alves, kushoto Jord Alba, Katikati kuna Iniesta mbele King Lionel Messi.

Hata wangekua wanacheza na Tukuyu Stars ningekua jukwaa la Tukuyu Stars nikishangilia kwa mbwembwe zote
 
I cant run even Hide....

Kwa huyo madada hapo kwenye picha I bet you won't run even hide.

Nasikisia siku hizi wachezaji wa AC Milan wamekuwa na groin injuries kila mara tokea this incredibly hot new female physio alipotia timu pale San Siro.

Taarifa zinasema kisa cha Balotelli kwenda Milan ni huyo mdada. Kuna uwezekano leo akapata groin injury hivi hivi.

BBzva7SCcAI3J2c.jpg

hahahahahahahahahahahahaha Mkuu, wewe una Utani na Gang Chomba, hahahahahahahahahahahahahahaha

Kaka si umeona hapo kwani jamaa kajikita hapo AC.

Ndiyo maana watu hawataki kuondoka Stanford Bridge ati. Chezea groin injury wewe?

images
 
MONTOLIVO:
“The fans will help us against
Barcelona” February 19th, 2013 RICCARDO

MONTOLIVO is ready to play at the
packed San Siro tomorrow against Barcelona. The
Rossoneri are getting ready for the fifth game
against Barcelona in just two seasons as tomorrow
evening, Milan take on the La Liga giants again, this
time for the first Champions League Round of 16 leg. Not many are giving [...]
 
Huu mchezo watatoka 7-5 yaani barca 7 na Milan 5. Simaanishi matokeo ya leo tu ila Leo na marudiano. Baada ya marudiano ndo matokeo yatakuwa hayo.

Kumbukeni Madrid nao watakuwa na Uzi mweisi siku ya marudiano na man united. Huu Uzi mweusi ni noma. Ni kama ule wa jana kati ya bay na arsenal.
 
Barca anapotea leo!ushindi wao leo labda mtoto wa kabati (draw)...mipango ya barca pale kati leo inaharibiwa tu na watu wa kati!....ukitaka kuwapoteza barca haribu mipango ya kati usishindane nao na hii ndo siri ya viungo wa milan kila msimu lazima wawe na mtu wa kati muharibifu,midfield destroyer!rejea uchezaji wa gattuso au gilberto enzi za arsenal!
 
Barca anapotea leo!ushindi wao leo labda mtoto wa kabati (draw)...mipango ya barca pale kati leo inaharibiwa tu na watu wa kati!....ukitaka kuwapoteza barca haribu mipango ya kati usishindane nao na hii ndo siri ya viungo wa milan kila msimu lazima wawe na mtu wa kati muharibifu,midfield destroyer!rejea uchezaji wa gattuso au gilberto enzi za arsenal!


Asante Myao wa Tunduru...
Daima tutasimama pamoja.
 
pamoja Gang chomba chama ache milano leo hatumwi mtoto dukani
 
Line-ups!
Valdés, Alves, Piqué, Puyol, Jordi
Alba, Sergio, Xavi, Iniesta, Pedro,
Messi and Cesc
 
Barca anapotea leo!ushindi wao leo labda mtoto wa kabati (draw)...mipango ya barca pale kati leo inaharibiwa tu na watu wa kati!....ukitaka kuwapoteza barca haribu mipango ya kati usishindane nao na hii ndo siri ya viungo wa milan kila msimu lazima wawe na mtu wa kati muharibifu,midfield destroyer!rejea uchezaji wa gattuso au gilberto enzi za arsenal!

Jipe Moyo tuu.
 
curva sud milano once home of the most legendaries kwenye ulimwengu wa soka
 
barc wamechoka sana hata wakikutana na mnyama simba anawatafuna..
 
Huo ni uongo...
Kama ulianza kudekea Soka mwishoni mwa miaka ya 70 basi ungekikuta kikosi boora cha Arigo Sacchi kilichochukua ubingwa wa ulaya mara mbili mfululizo.
Milan ya 89-90.
1. Galli
2. Tassotti
3. Maldini
4. Costacurta
5. Baresi
6. Colombo
7. Donadoni
8. Riijhkard
9. Van Barsten
10. Gullit
11. Ancelotti
Kikosi hiki kilichaguliwa kuwa kikosi booora cha Karne.
Hao Barca wako ni mavi matupu kwa kikosi hicho.
nenda katafute habari za makocha hao na jinsi walivyotamba walipokuwa pamoja walifanya nini.
yah man
 
Christian Abbiati; Ignazio Abate, Philippe Mexes,
Cristian Zapata, Kevin Constant; Riccardo Montolivo,
Massimo Ambrosini, Sulley Muntari; Kevin-Prince
Boateng, Giampaolo Pazzini, Stephan El Shaarawy.

Bench: Amelia (GK), De Sciglio, Yepes (DEF), Traorè,
Cristante (MID), Niang, Bojan (FW).
 
Timu ndo zinaingia... "We're the champions" wimbo ushapigwa. Mkuu gang punguza presha. Kwani AC Milan babako? Unaweza kuhamia hata man u
 
Back
Top Bottom