LIVE: AC Milan VS Barca...World successfully VS World entertainer

LIVE: AC Milan VS Barca...World successfully VS World entertainer

Gang Chomba mkuu kubali tu yaishe barca wako juu saana! Mtakula goli za messi mpaka mshibe kila la kheri mdau leo
 
Sijakuelewa Ibrahimovich bado yupo Ac Milan, naona wewe nimchukulie shabiki usiyejua unashabikia nini,
 
Hilo 1 ulilowapa Milan amefunga nani, sijaona Mchezaj wa Milan ambae anaeza akawafunga Barca leo. Ila kwa kuwa Bahati ipo ktk soka lolote laweza tokea.

hahahaha duh mzee mbona unawaua hawa analog wa italia ALEYN
 
Last edited by a moderator:
Gang chomba tunaomba uje utoe utabiri na leo,, mbona unakimbia thread?
 
Milan are my second-favourite team, insists Puyol
 
Gang chomba tunaomba uje utoe utabiri na leo,, mbona unakimbia thread?


Haya utabiri nimeshauweka...
Mechi itakwisha kwa patulo.
Lakini patulo hiyo itategemea ni jezi rangi gani Barca watavaa, na pia inategemea ni mchezaji gani atakuwa wa mwisho kutoka vyumbani...je namba ya jezi yake itakuwa ni ileeeee au laa
 
Mwaka jana tuliona maamuzi ya ajabu katika soka. Kona haijapigwa refa kafunika tuta. sijui leo itakuaje. But mimi nipo na Gang Chomba leo. FORZA AC MILAN. Waspain kwetu sisi wataliano ni kama vile watoto wa form four na NECTA. Ac milan Necta, Barca mwanafunzi. tutaona nani zaidi.
 
Hilo 1 ulilowapa Milan amefunga nani, sijaona Mchezaj wa Milan ambae anaeza akawafunga Barca leo. Ila kwa kuwa Bahati ipo ktk soka lolote laweza tokea.

Kelvin Philips Boateng. Mikiki mikiki yake anaweza kupata angalau hilo 1. Tena wana bahati msela Super Mario hatacheza leo.
 
Mwaka jana tuliona maamuzi ya ajabu katika soka. Kona haijapigwa refa kafunika tuta. sijui leo itakuaje. But mimi nipo na Gang Chomba leo. FORZA AC MILAN. Waspain kwetu sisi wataliano ni kama vile watoto wa form four na NECTA. Ac milan Necta, Barca mwanafunzi. tutaona nani zaidi.


Dah Bologna yaani watu wooote waliotia neno kwenye thread hii ni wewe tu ndio umeonesha ushujaa wa kuwa upande mmoja na Gang Bang...
Ok wao wana Refa sisi tuna Mungu
 
Kelvin Philips Boateng. Mikiki mikiki yake anaweza kupata angalau hilo 1. Tena wana bahati msela Super Mario hatacheza leo.


Mkuu anaitwa Kelvin Prince Boateng...
 
Mwaka jana tuliona maamuzi ya ajabu katika soka. Kona haijapigwa refa kafunika tuta. sijui leo itakuaje. But mimi nipo na Gang Chomba leo. FORZA AC MILAN. Waspain kwetu sisi wataliano ni kama vile watoto wa form four na NECTA. Ac milan Necta, Barca mwanafunzi. tutaona nani zaidi.

Lionel Messi
 
Back
Top Bottom