Gang Chomba
Platinum Member
- Feb 29, 2008
- 20,734
- 4,869
- Thread starter
- #301
fungukeni milani mpira upendeze, acheni kubana kama mko ugenini!
Mpira unapendezeshwa na makombe...
Hayo mambo yako wapelekee Arsenal na hawa wasichana wa Catalan
fungukeni milani mpira upendeze, acheni kubana kama mko ugenini!
Mwenyezi Mungu amwongezee Lionel Messi magoli mengine mengi kwenye hii mechi.
Amina.
Messi na Xavi hawamo?
Hii barcelona kama ikishiriki serie A kupata nafasi ya kushiriki klabu bingwa ulaya ni ndoto kwani hata top 5 haiwezi kupata na huyu andunje messi angemaliza msimu bila kuwe katika top ten serie A goal scorers!hawa barcelona watapigwa ubabani na umamani na hawa achee milan....forza milan!
"Both goals scored by ex Pompey players" nimemquote huyo commentator wa kiingereza, Mr Allan
Pongezi na hongera zako Gang chomba. Mmefanya vema. Kula 5 mkali wangu
Yaani watabiri wa jukwaa leo naona mambo magumu.
Mavi ya kale yananuka leo
Kanzu na sarakasi leo imekubali
nasikia mavvi ya kale yameanza kunuka kumbe hawa jamaa kutokana wanacheza mpira sana na bahasha za kaki ndio zilikuwa zinawapa kiburi sijui kikosi kitavunjwa kile cha dunia..
Namtafuta gutierez.tulikubaliana tusikimbiane humu.wapi gutierez?!nasema hiviiiiiiiiiii...WAPI GUTIEREZZZZZZZ.....?Chomba nisaidie darubini nimtafute Gutierez?hivi kuna jukwaa la misiba humu?WEE GUTIEREZ WEE,ETI NATHIKIA PALE NOU CAMP PAMEOTA MLIMA MKUUBWA UNAITWA ROSONERII...OUWIII!NIACHENI NIMALIZE FUJO ZANGU NA WASHKAJI HAPA,TUTAONGEA KESHO,CHOMBAAAAAAAAAAAAA....UUUUWIII...BARCA KAPIGWA HAMSA UKWENI UUUWII...ITALIA...ITALIA...ITALIA...ITALIA...WALLAH TUMETESEKA SANA MIAKA YOTE HII KUTAZAMA MAKOMBE TUKIWA TUMEKAA JUKWAA LA MZUNGUKO PALE SHAMBA LA BIBI..OUWIII!RAHA SANA WANA!
Kama kawaidaa. Jirani kapika pilau lazima nishangilie 7bu najua namimi nitakaribishwa. Kwisha habarii yake. Tatizo hamjui kua hizo timu za Spain zinalowaga kwa wataliano. Yani hao hata wangecheza na PESCARA au timu yangu ya mtaa BOLOGNA fc wangekaa. Hongeraa Chomba. Naona watoto wadogo wameona jinsi Messi wao alivyo Ushuzi.
Maskini akipata....
Salute to you GANG!
Mpira unapendezeshwa na makombe...
Hayo mambo yako wapelekee Arsenal na hawa wasichana wa Catalan
Minalfaizina yakhe...
Messi anadai eti alikunywa Fulsana nyiingi kabla ya Mechi
Kweli mpira unadunda.Hongera mkuu..Siku nyingine usije kurupuka kuwadhihaki
Milan...
messi mkia wa mbuzi...haustiri uchi wala haufukuzi nzi...