Literacy Week - BOHUMATA

Literacy Week - BOHUMATA

Nyundo Kavu

Senior Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
186
Reaction score
85
Wadau wa Maktaba,

Mnakaribishwa kutembelea Maktaba yetu ya Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 1/9/2016 - 8/9/2016 ambapo kutakuwa na week ya kujisomea. Tuta-exhibit (onesha) vitabu mbalimbali, majarida, na magazeti ya kipindi cha nyuma mpaka sasa.

Je, ulishawah kusoma vitabu kama: Pesa zako zinanuka, Tutarudi na Roho zetu, Zawadi ya Ushindi n.k vipi kuhusu vitabu vya Mwl Nyerere, Katiba n.k



Karibuni sana....
 
Back
Top Bottom