Lisu kiboka: sikiliza ujasiri wa kuongea na shahidi/ impeachment

Lisu kiboka: sikiliza ujasiri wa kuongea na shahidi/ impeachment

Mnakodi watu wanakuja kupga mwano mahakamani?
Bado akili hazijawakaa vizuri
We unadhani wale majaji waliwahi kuona vilio vingapi?
 
Kumbe Lucha na wewe ni polisi!! Kuwa polisi ndiyo kipimo kizuri cha kuthibitisha ukosefu wa akili.
Nataka niwe polisi ili nikikutana na nyumbu kama nyie niwachape risasi kama mlivyochapwa Oct 29

Hakuna huruma kwa wahalifu
 
1770983172213.jpg
 
Mnakodi watu wanakuja kupga mwano mahakamani?
Bado akili hazijawakaa vizuri
We unadhani wale majaji waliwahi kuona vilio vingapi?
Muhaini Lissu kabanwa mahakamani hadi akaanza kulilia chakula
 
Kigezo cha kwenda polisi ilikuwa ni urefu na wenye uwezo wa kukimbia, polisi ni kazi inayohitaji nguvu na akili kidogo sana, na wengi wa maaskari wana division 4 na wengine 0,
Vitu vya kutumia akili na reasoning hawawezi,askari walio wengi ni
Academically dwarfs na wanalipwa salary kidogo,so akipewa 2M akuue anakumaliza faster,
 
Yaani ata unavyoandika inaonekana elimu yako ni ndogo tu. Jamani wanajamvi naombeni msimjibu chochote huyu
Mimi na wewe nani ana elimu ndogo?

Unaandika "ata" badala ya "hata"

Unaweka nukta katikati ya sentensi na mwisho wa sentensi huweki nukta, kati yangu mimi na wewe nani elimu yake ndogo?

Nyumbu we.
 
Back
Top Bottom