Lisu atofautiana na Mdee Bingeni

Lisu atofautiana na Mdee Bingeni

mrelbattawy

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2013
Posts
564
Reaction score
112
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,

Tbc - live
 
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,

Tbc - live

mrelbattawy, Hakuna la ajabu hapo. Bungeni kila mwakilishi anatakiwa kuwa huru katika kuchangia jambo kadri anavyoona inafaa kwa masilahi ya Watanzania. Mwishoni, masilahi sahihi ya wananchi yanapitishwa.
 
chadema inachukiwa na watanzania kwa sababu ya upuuzi wa viongozi wake
 
Ni baada ya mwanasheria mkuu wa serikali kutaka adhabu ya shs 5,000,000/= kwa atakayepatikana na hatia ya kukiuka maadili na kuleta uchochezi katk mambo film na michezo ya kuigiza, Lisu alisimama na kutaka sheria hii iondolewe kwa vile tokea ilivyotungwa miaka ya 70s hajawahi kutokea wala kushtakiwa mtu kwa kutenda kosa katika tasnia hiyo ya film, pia mnyika na mchungaji walisimama na kumuunga mkono lisu., lakini Halima mdee baadae alisimama na kutaka adhabu iendelee kuwepo ila ipunguzwe kutoka mili5 hadi mili3,.,

Tbc - live
Huna uwezo wa kupambanua mambo,

wengi tunaangalia TBC Lissu alitaka kifungu hicho kiondolewe lakini baada ya wabunge wa CCM kukipitisha kwa kura ya NDIYOO ndipo Mdee akaomba angalau basi faini ipunguzwe.
 
Halima mdee alitaka iwe laki 5 mbunge wa ccm akaja na hoja iwe kama kamati ilivyoamua million 3. Baada ya Halima kuelewa kuwa angalau imepungua kutoka million 5 mpaka 3 na angeendelea kubishana angeshindwa kwa hoja ya wengi wape so ikabidi akubali. Mda mwingine muwe makini ktk kusikiliza zaidi.
 
Inaelekea tunataka tulazimishe kuwa itikadi/msimamo wa vyama usiruhusu uhuru wa wabunge kutoa maoni.
 
Mitifuano ndani ya Chadema inazidi kushamiri tu.

Wanachama wamebaki njia ya panda...

Mkuu hiyo ni parliamentary session, kila moja ana uhuru wa kutoa maoni yake anavyoona yanafaa.

Hakuna mtifuano bali hoja zenye kujenga.

Uimara wa CHADEMA unaifanya bunge lionekane lina sura ya aina yake!
 
Ccm wanazani na cdm ni watu wa ndiooooooooo,,,hapana mwenye hoja ruksa kuongea,,,,,maaana kila mbunge ana jimbo lake na wananchi wake,,na kila mmoja matatioz yanatofautiana,,,,teteeni wananchi na sio chama
 
Umekurupuka angalia na sikiliza kisha elewa sio unapotosha,kilichotokea ni kuwa Tundu Lisu anasema hiyo faini imeongezwa mara 600 sawa na 300000% na hakuna mtu aliyewahi kushtakiwa wala kupigwa faini so kwa nini wanaongeza faini?kwa hiyo adhabu ibaki ileile ya zamani,Mwanasheria mkuu alikataa so Mdee akapendekeza iwe Tsh 500,000.

Mama Anna Abdallah alisimama akawapinga wote akasema yeye anapendekeza iwe Tsh 3,000,000 na akaungwa mkono na Mwanasheria mkuu,ndipo Mdee kama mpendekeza mabadiliko akahojiwa anasemaje obviously akakubaliana nao
 
Magamba yamekaa kama fisi anayevizia mkono wa binadamu, mtaishia kunawa kiboko kinawasubiri 2015 kama alivyosema mkuu wa chama chenu
 
Wazee wa ndio wenyewe hata mmoja akitokea akasema ipitishwe sheria kila mbunge wa chama cha ndio achapwe viboko kama kachelewa bungeni wenyewe wataitika tu ndioooooooooooooooo...bila hata kuchalenji!
 
Back
Top Bottom