Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,682
- 32,204
Nimekaa nikajiuliza sana
Kama tunaendelea NA walewale dean of students ..wakuuu wa vyuo NA wahasibu walewale ambao wamepitisha wanafunzi hewa.MNS NA wametoa resit za wanafunzi hewa serikali ikaingia hasara
Hamwoni amuwatendei haki wananchi kama NA wakati uu mkaendelea kudeal NA wahasibu wale wale wa vyuo NA wakuu walewale wa chuo waliotia saini list ya wanafunzi hewa wakishirikiana NA dean of students
Tufike wakati hawa n majipu NA tukiweza warudishwe wizarani kuwahamishia udom kutoka udsm AMA udsm kwenda sua amjafanya kitu wizi watakaofanya n ulelule
Mh WAZIRI , LIANGALIENI HILI.....
Kama tunaendelea NA walewale dean of students ..wakuuu wa vyuo NA wahasibu walewale ambao wamepitisha wanafunzi hewa.MNS NA wametoa resit za wanafunzi hewa serikali ikaingia hasara
Hamwoni amuwatendei haki wananchi kama NA wakati uu mkaendelea kudeal NA wahasibu wale wale wa vyuo NA wakuu walewale wa chuo waliotia saini list ya wanafunzi hewa wakishirikiana NA dean of students
Tufike wakati hawa n majipu NA tukiweza warudishwe wizarani kuwahamishia udom kutoka udsm AMA udsm kwenda sua amjafanya kitu wizi watakaofanya n ulelule
Mh WAZIRI , LIANGALIENI HILI.....