malipo ya wanafunzi hewa;WAHASIBU WOTE WASHATAKIWE NA WALIOSAINI CHEKI MSIANGALIE SURA

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Inashangaza kuendelea kupiga kelele za wanafunzi hewa huku KUNA WATU wameidhinisha hizo hewa

Nashangaa kuona mhasibu wa vyuoo husika anaendelea kazini kwakweli inashangaza sana NA kuuma......

M ninakamshangaoo fulaniii ndipoo nikaogopa sana hiivi vyuoo wapendwa kikubwa kabisa hapa dar...mdogowangu mmoja tulikuwa tunamlipia sasa malipo Fulani ya laki NNE nanusu tuliyafanya...wakati wanamaliza ikaonekana iko NA gap....

Kwa bahati mbaya nikaitafuta sana Sana'a..kiukweli sikuipata NA anatakiwa Ku graduate...tukatoa nyingine

Baadae nikaipataa...ilaa KUNA vitu vilinishtuaa...nilipofika namweleza mhasibu akaanza kujichanganya badae naomba niwasiliane NA it..nkamwambia we so umeandika -450"000 sasa HII resit yangu nimelipa miezi minne NA statement inaonyesha sijalipa MPAKA nikalipa upya nikaonyesha resit nyingine..akaanza hili n tatizo la it njookesho tutakueleza jinsi yakufanya upte hela zako

Kha...

Hizi dilii NA it wachunguzwe wooote waondokee Hawa ndioo wanaonyesha malipo yamefanyika ...

Wasibaki wahasibu wowote

Khe Amnaa haya nakodi za mamakasekela
 
Maneno ya hawa jamaa huwa hayadhuru nadhani is hard time waende kwenye vitendo sasa
 
Kuna ujinga na ujinga. Huu sijui niuite nini.
Eti wahasibu wote washtakiwe !!
Hivi unajua kazi au nafasi ya mhasibu kwenye mtiririko wa uidhinishaji wa malipo ?
Unajua pale kwenye vocha mhasibu anasaini kama nani na maana au anasosema ni nini kwa kusaini hapo?
Unajua tofauti ya approved by na authorised by kwenye hati ya malipo?
Ni nani anayeruhusu pesa zitoke kati ya mhasibu na huyo mwingine?
Ndo shida ya kuvamia fani.
Sio wewe peke yako wapo mabosi kibao walio saini miaka kibao lakini hawajui maana ya sehemu wanazosaini. Na wakati mwingine unasikia we saini popote bwana !
 
Huyu mkuu huwa anabandika post nyingi saana ila Mimi kwa ukilaza wangu ninapata shida sana kumuelewa. Ingawa miaka ya hivi karibuni uandishi wake umeimarika. Anyway, usife moyo endelea "kutumbua majipu".
 
Kuna ujinga na ujinga. Huu sijui niuite nini.
Eti wahasibu wote washtakiwe !!
Hivi unajua kazi au nafasi ya mhasibu kwenye mtiririko wa uidhinishaji wa malipo ?
Unajua pale kwenye vocha mhasibu anasaini kama nani na maana au anasosema ni nini kwa kusaini hapo?
Unajua tofauti ya approved by na authorised by kwenye hati ya malipo?
Ni nani anayeruhusu pesa zitoke kati ya mhasibu na huyo mwingine?
Ndo shida ya kuvamia fani.
Sio wewe peke yako wapo mabosi kibao walio saini miaka kibao lakini hawajui maana ya sehemu wanazosaini. Na wakati mwingine unasikia we saini popote bwana !

Msamehe Kigori wa kufikiri huyo!
 
Huyu mkuu huwa anabandika post nyingi saana ila Mimi kwa ukilaza wangu ninapata shida sana kumuelewa. Ingawa miaka ya hivi karibuni uandishi wake umeimarika. Anyway, usife moyo endelea "kutumbua majipu".
Huyu atakuwa Mwanafunzi wa QT
 
Back
Top Bottom