
Hahaha swahiba naona una utani na sisi
Hahaa mpendwaaaa si unatujua wanyaki?
..................Nahisi ni mtumishi wa Mungu. Yuko vzuri sana kwa ushauri na mambo ya kiroho. Mfuatilie utamuelewa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njia za kisansi ndo zipi ??Nimetumia njia za kisansi mkuu
Wavumilie tu mkuu.
Wamebakisha mwezi mmoja na nusu.
baada ya huo muda utoaji list utakoma!!?Faiza kichwani yupo smart?????
Ama kweli kila kilazaaa ana kilaza wake.
