Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Jamaa nilijua ni mchapakazi kweli maana kila akienda kukagua shule lazima haikatae kumbe ni fisadi tu kelele nyingi kwenye TV kumbe ufanyaji kazi zero.
Ndo tatizo lenu kukurupukia mambo, jamaa yupo pale pale.