List ya Waliomwagwa Uwaziri+Unaibu

List ya Waliomwagwa Uwaziri+Unaibu

nyota ya Nundu imezimika kwa kasi ya ajabu,huyu mzee ukisoma cv yake utaogopa sijui pepo hili limemtokea wapi,Tanga mnagundu kweli.Mtoa msomi mwenye CV International,ameishia kwenye fedhea ya ubadhirifu.Arudi ulaya sasa,hehehehehehe JK nomaame mTIDO kudadeki.



Huyu bwana siyo mbadhilifu kama unavyofikiri, yaliyomkuta ni katika kutetea maslahi ya taifa kaingilia maslahi ya watu waliojipanga siku nyingi kutafuna rasilimali za nchi hii(jaribu kufuatilia sakata la cccc lilivyokwenda). Ila wale waliokua wanadhani kua akitoka Nundu mambo yatanyooka naona kama vile wamepata pigo katoka Nundu kaingia Mwakyembe.
 
waziri bila wizara maalum hii ndio Tanzania bwana , watu wanagawiana vyeo na kujazana maofisini hata kama hawana umuhimu wowote!

Ajabu na kweli nakumbuka Jk alipokuwa rais mara ya kwanza aliponda sana hii kitu sasa analamba matapushi yake.
 
kaka kutokuwa na wizara maalum kuna maana kubwa kisiasa, ukitazama vizuri utendaji kazi wa pm wetu unagundua kuna gap kubwa la kiutendaji. mwandosya sasa anakuwa kama naibu waziri mkuu tofauti ni kuwa sasa serikali haitayumba tena katika wizara zake.
 
Eh eh eh ajafanya ki2 mbona atalivunja tena kabla hajamalizia muhula wake
 
Huyu ni waziri mkuu ingawa hana wizara nadhani anakava zote.

Ni kweli fununu zinatonya kuwa huyu Mwandosya ndiye Waziri mkuu mpya. JK awezi kutaja jina lake mapema kama w/mkuu hadi apeleke hili jina bungeni likapitishwe na wabunge.
 
Jamani mwenye CV ya waziri wa Fedha atumwagie hapa tafadhali.
[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TH="bgcolor: initial, colspan: 3, align: left"]NERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]

[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]William[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Augustao[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Mgimwa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Kalenga[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]Box 80373, Dar Es Salaam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 754 765644/+255 684 765644[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]wmgimwa@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]20 January 1950[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TH="bgcolor: initial, colspan: 5, align: left"]EDUCATIONS[/TH]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TH="bgcolor: initial, colspan: 5, align: left"][/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%, bgcolor: initial"]School Name/Location
[/TH]
[TH="width: 27%, bgcolor: initial"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, bgcolor: initial, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, bgcolor: initial, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, bgcolor: initial, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Wasa Primary School
[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1961[/TD]
[TD="align: center"]1965[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tosa Seminary Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1966[/TD]
[TD="align: center"]1967[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Tosamaganga Seminary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1968[/TD]
[TD="align: center"]1969[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mafinga Seminary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1970[/TD]
[TD="align: center"]1971[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Institute of Finance Management, IFM[/TD]
[TD="align: center"]Advanced Diploma (Banking)[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1978[/TD]
[TD="align: center"]ADV DIPLOMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Institute of Finance Management, IFM[/TD]
[TD="align: center"]Postgraduate (Finance)[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]POSTGRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Institute of Development Management, IDM, Mzumbe[/TD]
[TD="align: center"]MBA (Finance)[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TH="bgcolor: initial, colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: initial"]Company Name[/TH]
[TH="bgcolor: initial, align: center"]Position[/TH]
[TH="bgcolor: initial, align: center"]From Date[/TH]
[TH="bgcolor: initial, align: center"]To Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Kalenga Constituency[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania Training Institute (Mwanza)[/TD]
[TD]Principal[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The National Bank of Commerce (NBC) - Bank[/TD]
[TD]Director[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The National Bank of Commerce (NBC) - Bank[/TD]
[TD]Manager[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The National Bank of Commerce (NBC) - College[/TD]
[TD]Lecturer[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]The National Bank of Commerce (NBC) - Bank[/TD]
[TD]Accountant[/TD]
[TD="align: center"]1980[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TH="bgcolor: initial, colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%, bgcolor: initial"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, bgcolor: initial, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, bgcolor: initial, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, bgcolor: initial, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Ward Guardian (Wasa, Iringa)[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Assistant Commander (UVCCM)[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Chama Cha Mapinduzi, CCM[/TD]
[TD]Councillor (Gangilonga Ward)[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TH="bgcolor: initial, colspan: 2, align: left"]PUBLICATIONS[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, bgcolor: initial"]Description[/TH]
[TH="class: text_menu, bgcolor: initial"]Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]1994[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]1995[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]2007[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]1994[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]1995[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]2007[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]1994[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]1995[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]2007[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Liquidity Management, Tanzania Bankers Journal, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]1994[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Commercial Bank Lending Journal, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]1995[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Advanced Credit Operations, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]2007[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]W. Mgimwa: Advanced Treasury Management, Dar Es Salaam.[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Plate namba ya gari lake (lazima litakuwa jipya) itasomeka W AW (Waziri Asiye na Wizara)! Sijui jengo la wizara yake litakuwa wapi na wizara sijui itakuwa na watumishi wangapi. Sanaa bana!

Hata zamani (wakati wa Mwinyi) nafikiri kulikuwa na "wizara" kama hii.

Lakini tuliangalia hili kwa positive eyes,yaani jinsi tunavyozidi kuonyeshwa ubovu wa katiba yetu. Hapa tunapata msisitizo wa kuwa na wizara za kudumu zitazoainishwa wazi katika katiba.
 
Huyo Mgimwa kwanini anaitwa "Dr."? Kwa maana katika CV yake hakuna mahala panapoonyesha jamaa kapata PhD!
 
Watu wengi sana mmetoa dukuduku lenu kuhusu baraza hili. Asilimia kubwa ya wadau hapa hawajaridhika na uteuzi wa baadhi ya mawaziri na manaibu. Sasa tatizo la msingi sio uteuzi bali na fursa iliyotolewa kikatiba kwamba mawaziri watateuliwa na mtu mmoja ambae ni Rais. Kwa hali ya sasa hivi wewe au mimi hatuwezi kubadili chochote lakini tuna jukumu la kuhakikisha kwenye katiba mpya tunayoitarajia kosa hili halijirudii. Kwa iyo ndugu mwanaJF usipige tu politiki hapa jamvini, hakikisha unatumia fursa yako ya kutoa mawazo yako ya msingi katika katiba iweje ikiwa ni pamoja na kuondoa mamlaka makubwa kama haya kwa mtu mmoja!
Tafakari chukua hatua!
 
Kwa uteuzi wa baraza hili, sasa ni wazi kuwa JK anapaswa awajibike yeye. Hana lolote la kusaidia nchi hii.
 
  1. Aliyekuwa Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo
  2. Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja
  3. Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige
  4. Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Omary Nundu
  5. Aliyekuwa Waziri wa Afya, Dkt. Hadji Mponda
  6. Aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Cyril Chami
 
baraza kivuli vp? Nakusanya saini kiongozi wa upinzani ajiuzuru nae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom