Wadau ebu tutajieni list ya waliomwagwa Unaibu na Uwaziri.
Naanza na
1.Ngeleja
2.Maige
3.Nundu
4.Chami
5....
6...
7.Mkulo
Lwenge
Mie nashindwa kumwelewa JK sijui ni mtoto, mwoga au vipi??
Mwandosya anaumwa, angemwacha tu... ajiuguze kwanza, kama ni kwa ajili ya kumsaidia akiumwa ingekuwa akiwa nje
ya uwaziri"".
My Take: Kama kuumwa kingekuwa kigezo cha mtu kinyimwa nafasi za uteuzi, pasingekuwa na anayestahili kuteuliwa nafasi hizo...hebu cheki siha za waheshimiwa wetu..wengi wana utojazo (obesity) uliopitiliza kuashiria wana maradhi ya utapiamlo. Au jipime mwenyewe kabla ya kuwahukumu wengine..Una afya timamu?
Plate namba ya gari lake (lazima litakuwa jipya) itasomeka W AW (Waziri Asiye na Wizara)! Sijui jengo la wizara yake litakuwa wapi na wizara sijui itakuwa na watumishi wangapi. Sanaa bana!
Hivi Chami amerudi??
nakwambia hivi huyu ni mshauri mzuri sana ila tu kwa sasa angepumzika na wangemtumia kiushauri zaidiMwandosya anaumwa, hakustahili hata kuitwa waziri. Au jamaa kaamua kumtunzia heshima bosi wake wa zamani. Hii serikari ya kishikaji hiiiiii, mweeeeeee!!!!!!!!!!!!
plate namba ya gari lake (lazima litakuwa jipya) itasomeka w aw (waziri asiye na wizara)! sijui jengo la wizara yake litakuwa wapi na wizara sijui itakuwa na watumishi wangapi. sanaa bana!
Vp kuna hatua kali zozote zitakazochukuliwa kwa hao mawaziri?
Lwenge