List ya makabila

List ya makabila

Status
Not open for further replies.

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,974
Wadau MMU.

Leo nimeona tushare historia zetu za mahusiano,je wewe mpaka unafika umri huo umesha do na watu wangapi na makabila mangapi hata Tz na nje ya Tz?

Mimi naanza
Idadi ya wasichana/wanawake kama 10 hivi

Makabila:
Mndengereko wa Miwaga,Rufiji,Mngindo wa Mahenge,Mpare wa Same,Mmeru wa Arumeru,Mchaga wa Kindi,Moshi,Mnyaturu wa Singida,Msukuma wa Mwanza na sasa nimeoa Mmeru wa Arumeru.

Hayo yote yametokana na ile hali ya ujana na kutamani kuonja onja ile sasa nimetila kwenye ndoa nimeoa na nina
watoto.

Note: Nimepima na niko salama na umri wangu 30+

Hebu tupia uzoefu wako hapa na ukiri kuacha michepuko rasmi.

Nawasilisha.
 
Sambaa girl, chagga girls, pare girls, hehe girl, 2 kenyan girls I dont know their tribes. And still Im single
 
Wadau MMU.

Leo nimeona tushare historia zetu za mahusiano,je wewe mpaka unafika umri huo umesha do na watu wangapi na makabila mangapi hata Tz na nje ya Tz?

Mimi naanza
Idadi ya wasichana/wanawake kama 10 hivi

Makabila:
Mndengereko wa Miwaga,Rufiji,Mngindo wa Mahenge,Mpare wa Same,Mmeru wa Arumeru,Mchaga wa Kindi,Moshi,Mnyaturu wa Singida,Msukuma wa Mwanza na sasa nimeoa Mmeru wa Arumeru.

Hayo yote yametokana na ile hali ya ujana na kutamani kuonja onja ile sasa nimetila kwenye ndoa nimeoa na nina
watoto.

Note: Nimepima na niko salama na umri wangu 30+

Hebu tupia uzoefu wako hapa na ukiri kuacha michepuko rasmi.

Nawasilisha.

muha, mmakonde, bondei, mnyakyusa, mgogo, sambaa..mjta wengne ckumbuk
 
Mmmmh...ngoja nilogin kwenye database kwanza, nianze kuretreive saved data.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Jamani mlango wa kutokea upo wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom