Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
hao ni wa kunyongwa 2 hakuna haja hata ya kufanya uchunguz.
Nachangia nikiwa kama mmoja wa viongozi wa udoso,hawa wameshiriki ubadhirifu wa zaidi ya milioni ishirini(20 mil.),vinara wakuu ni rais na waziri mkuu wake