Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,529
- 108,989
Jifunze kusoma na kuelewa, ukisoma na kuelewa walichoandika wenzako itakusaidia kutoandika kitu usicho na ufahamu nacho.Wakuu mbona bado mnataja bei za kuingilia Ramada na viunga jirani? Kwani mleta uzi si anataka kuogelea baharini? Na vipi lile agizo la wananchi wote kuingia bure kwenye fukwe zooote? Agizo limesitishwa?
Au lile agizo nalo limehamia Dodoma?
Sema akija Mikadi Beach Ajiandae kwa kabariBeach zipo nyingi unaweza kuanza na mbalamwezi pale mikocheni kwa warioba kwa mbele kiingilio 5000 huwa inabadilika,kuna bahari beach kule kunduchi getini unalipa elfu 10000 kuna hapa escape one pia kiingilio bure ukija kigamboni ndio za kumwaga kuna southbeach,barakuda beach,mikadi beach na nyinginezo to mention a few
Watu wengine lengo lao kuongezeana uvivu tu na usingizi.Jifunze kusoma na kuelewa, ukisoma na kuelewa walichoandika wenzako itakusaidia kutoandika kitu usicho na ufahamu nacho.
Akuchukuaje ili hali una mke na watoto.
Nyinyi ndio hasa mnahitaji ubatizo wa moto.Watu wengine lengo lao kuongezeana uvivu tu na usingizi.
Sasa mkuu kama umegundua kuna makosa ya uelewa,ingekugharimu kias gani kunielewesha? Au basi tu uonekane much know?
na umri huo mkuu unakubali vipi tupigane vikumbo hapa jukwaani? Wewe age yako ya kina Lala 1
Usihukumu usije ukahukumiwa..... asema Bwana wa majeshi.Nyinyi ndio hasa mnahitaji ubatizo wa moto.
khaaaaaaaa.......duh coco beach nayo ni beach nzuri? kiruuuuNaombeni list ya beach nzuri za kuogelea weakend ukitoa Coco beach hapa DSM, ziwe na usalama sio za wakabaji na wabakaji na ni muda gani mzuri wa kuogelea? Mdau toka bush.
VP? Na wewe yalishakukuta?brother umenikumbusha mbali sanaaa
Ndege beach-mbweniNaombeni list ya beach nzuri za kuogelea weakend ukitoa Coco beach hapa DSM, ziwe na usalama sio za wakabaji na wabakaji na ni muda gani mzuri wa kuogelea? Mdau toka bush.
Cku hz ni 40,000.nakuogelea juu chezea magu[emoji38] [emoji38] [emoji38]Kwa Mfano Ramada Mbezi beach kama umechukuwa room hakuna gharama ya ziada, ila kama unakwenda tu na kuondoka inatakiwa ulipie bufee sh 50,000/= kwa kichwa.
Ila kuwa makin Ramada nilikuw mteja mzr sn lkn wakaanza njaa zao mhudumu au cashier anakufuata anakwambia udanganye kuwa umelala pale umlipe kwa siri huku anakutolea macho Kama police aisee niliwashusha viwango sn. Niliwatimua na ckuwa ht na mpango na receipt nikaanz kudai zoote kuanzia lunch hawana wanarushiana mipira mpk nikaondoka. Tamaa zakijinga sn.akishindwa basi aende white elfu arobaini au ramada fifty
mimi hiyo ramada sijawahi hata kuingia naskia tu washkaji, napapita hapo naenda whitesands ndo napopakubali, sijui kwanini, naenda kwenye gati nashuka naogelea nikitosheka napanda napata upepo nasepaIla kuwa makin Ramada nilikuw mteja mzr sn lkn wakaanza njaa zao mhudumu au cashier anakufuata anakwambia udanganye kuwa umelala pale umlipe kwa siri huku anakutolea macho Kama police aisee niliwashusha viwango sn. Niliwatimua na ckuwa ht na mpango na receipt nikaanz kudai zoote kuanzia lunch hawana wanarushiana mipira mpk nikaondoka. Tamaa zakijinga sn.
Naombeni list ya beach nzuri za kuogelea weakend ukitoa Coco beach hapa DSM, ziwe na usalama sio za wakabaji na wabakaji na ni muda gani mzuri wa kuogelea? Mdau toka bush.
We utakua mkongwe wa mikadi beach Kigamboni aiseee.Ukifika huko beach....kaa mbali na wale vijana wanaokodisha mapira ya kuogelea.......wale vijana ni hatari sana kwa kuwabaka mabinti za watu........
Wanajifanya wanamfundisha binti kuogelea alafu wanampeleka kwenye kina kirefu......ambapo wanajua binti hawezi kujitegemea mwenyewe bila ya msaada wako....na hapo wanamtishia kumuacha hapo....kama atawanyima ile kitu.......kwa uoga wa mawimbi na hofu ya kifo binit anakuwa hana la kufanya zaidi ya kuwakubalia.....na wakati mwingine kubakwa......
matema beach ipo mbeyaPia kuna ile ya lake Tanganyika na Matema Beach, kwakweli Tanzania tumebarikiwa.