List ya beach nzuri DSM

List ya beach nzuri DSM

Mikadi beach.ila use makini na mgeni. Maana hawa jamaa wanajifanyaga wanawafundish mabint kuogelea kumbe wanagegedana ndani ya Maji.unaona mwanamke kamkumbatia ujue halo kitu IPO kwa k[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
 
Mikadi beach.ila use makini na mgeni. Maana hawa jamaa wanajifanyaga wanawafundish mabint kuogelea kumbe wanagegedana ndani ya Maji.unaona mwanamke kamkumbatia ujue halo kitu IPO kwa k[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Washenzi sana, kuambukizana magonjwa, na mwanamke ukitoka hapo unaona aibu kusema kuwa ulibakwa.
 
Njoo ununio beach,usalama wa kutosha wa gari na mali zingine,hakuna vijana wakabaji.Kila jumapili watu wanakula muziki kuanzia saa 7 mchana hadi SAA 5 usiku,beach ina maji meupe hayana tope,beach ni free haina malipo lakini zipo groceries zinazouza vinywaji mbalimbali pamoja na nyama choma.
 
Mikadi beach.ila use makini na mgeni. Maana hawa jamaa wanajifanyaga wanawafundish mabint kuogelea kumbe wanagegedana ndani ya Maji.unaona mwanamke kamkumbatia ujue halo kitu IPO kwa k[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
loooh na maradhi haya jamani hata condom itatumika kweli
 
Mikadi beach.ila use makini na mgeni. Maana hawa jamaa wanajifanyaga wanawafundish mabint kuogelea kumbe wanagegedana ndani ya Maji.unaona mwanamke kamkumbatia ujue halo kitu IPO kwa k[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Watanzania na sisi huwa tunaendekeza vitu vingine visivyo na maana kabisa. Unakubalije mtu anazuka kama mwezi, na unamkubalia akufundishe au afundishe binti yako kuogelea? Tunakuwa rahisi kuaminiana mno! Vitu kama hivi vinakuwa na vyuo vilivyosajiliwa na mambo yanakwenda kitaalamu!
 
Njoo ununio beach,usalama wa kutosha wa gari na mali zingine,hakuna vijana wakabaji.Kila jumapili watu wanakula muziki kuanzia saa 7 mchana hadi SAA 5 usiku,beach ina maji meupe hayana tope,beach ni free haina malipo lakini zipo groceries zinazouza vinywaji mbalimbali pamoja na nyama choma.
ununio tatizo wavuvi wengi mkuu nilikuwa huko jmosi
 
Watanzania na sisi huwa tunaendekeza vitu vingine visivyo na maana kabisa. Unakubalije mtu anazuka kama mwezi, na unamkubalia akufundishe au afundishe binti yako kuogelea? Tunakuwa rahisi kuaminiana mno! Vitu kama hivi vinakuwa na vyuo vilivyosajiliwa na mambo yanakwenda kitaalamu!
Yaani hizi bichi zisizo na maana ni shida tupu .vijana hawaogopi magonjwa kabisa
 
Naombeni list ya beach nzuri za kuogelea weakend ukitoa Coco beach hapa DSM, ziwe na usalama sio za wakabaji na wabakaji na ni muda gani mzuri wa kuogelea? Mdau toka bush.
We si ubaki huko huko kwenu porini sababu ukija Dar utakuja kugongwa na magari uchafue lami tu,unauliza list ya beach za Dar kwani ni maembe hayo unataka kuchagua?
 
Wakuu mbona bado mnataja bei za kuingilia Ramada na viunga jirani? Kwani mleta uzi si anataka kuogelea baharini? Na vipi lile agizo la wananchi wote kuingia bure kwenye fukwe zooote? Agizo limesitishwa?
Au lile agizo nalo limehamia Dodoma?
 
Back
Top Bottom