Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,738
- 12,430
akishindwa basi aende white elfu arobaini au ramada fiftyMhhhhhhhh jamani!
akishindwa basi aende white elfu arobaini au ramada fiftyMhhhhhhhh jamani!
Wazee wa kuchangamkia fursa
![]()
Starehe gharama, Ramada is the best place.Kwa Mfano Ramada Mbezi beach kama umechukuwa room hakuna gharama ya ziada, ila kama unakwenda tu na kuondoka inatakiwa ulipie bufee sh 50,000/= kwa kichwa.
Ukifika huko beach....kaa mbali na wale vijana wanaokodisha mapira ya kuogelea.......wale vijana ni hatari sana kwa kuwabaka mabinti za watu........
Wanajifanya wanamfundisha binti kuogelea alafu wanampeleka kwenye kina kirefu......ambapo wanajua binti hawezi kujitegemea mwenyewe bila ya msaada wako....na hapo wanamtishia kumuacha hapo....kama atawanyima ile kitu.......kwa uoga wa mawimbi na hofu ya kifo binit anakuwa hana la kufanya zaidi ya kuwakubalia.....na wakati mwingine kubakwa......
sina swali nashukuru ila hujaniambia ni mida gani mizuri ya kuogelea maana nasikia bahari ina mashart yakeUnapouliza jambo ni vizuri ujifunze kwanza kuuliza swali.
Si kila anayekwenda beach anaogelea baharini, kuna hotel nzuri sana Dar beach front lakini hazima ufukwe mzuri kwa ajili ya kuogelea baharini.
Kwakuwa hauko specific nakushauri hivi, Ramada hotel Mbezi Beach ni hotel nzuri yenye beach front lakini kuogelea utatumia swimming pool ambalo liko upande wa baharini.
Ila kama shida yako ni kuogelea baharini basi Kigamboni ndiko kwenye fukwe zinazofaa kwa kuogelea baharini, kwa mfano unaweza kwenda Sun rise ufukwe wao uko poa sana na ni msafi na ukitaka kulala hapo hapo huduma inapatikana.
Swali lingine?
shukrani mkuu usicheze mbali ngoja nisome bill hapa nakuforwadia soonUkikwama nistue nipo tayari kuwezesha watu katika maeneo kama haya
ukienda huko naomba twende wote mamitoBaada ya kazi, mapumziko ninapendelea kuiacha Dar kwa muda, ninapenda kwenda Pangani, Bagamoyo au Zanzibar. Beach za huko siwezi kuelezea.
Usijalishukrani mkuu usicheze mbali ngoja nisome bill hapa nakuforwadia soon
shukrani mkuu .ila mimi najua kuogelea siitaji trainerUkifika huko beach....kaa mbali na wale vijana wanaokodisha mapira ya kuogelea.......wale vijana ni hatari sana kwa kuwabaka mabinti za watu........
Wanajifanya wanamfundisha binti kuogelea alafu wanampeleka kwenye kina kirefu......ambapo wanajua binti hawezi kujitegemea mwenyewe bila ya msaada wako....na hapo wanamtishia kumuacha hapo....kama atawanyima ile kitu.......kwa uoga wa mawimbi na hofu ya kifo binit anakuwa hana la kufanya zaidi ya kuwakubalia.....na wakati mwingine kubakwa......
shukrani mkuu .ila mimi najua kuogelea siitaji trainer
Muda wa beach ni wakati wa jua, kuanzia saa 8 mchana ni muda mzuri wa kuogelea hata bahari inakuwa imejaa yote.sina swali nashukuru ila hujaniambia ni mida gani mizuri ya kuogelea maana nasikia bahari ina mashart yake
kuogelea najua sana nimeogelea sana ziwani kwani kuna tofauti?Muda wa beach ni wakati wa jua, kuanzia saa 8 mchana ni muda mzuri wa kuogelea hata bahari inakuwa imejaa yote.
Ila ni vizuri kama hujui kuogelea ukajifunza kwanza kwenye swimming pool badala ya kujifunzia baharini.
bufee elf 50 si nitaishia hapo kwenye misosi? nitaogelea tena kweli?Kwa Mfano Ramada Mbezi beach kama umechukuwa room hakuna gharama ya ziada, ila kama unakwenda tu na kuondoka inatakiwa ulipie bufee sh 50,000/= kwa kichwa.
Kwa kifupi hiyo 50,000/= ndio kiingilio chako, hakuna tena malipo ya ziada utakula mpaka uvimbiwe kwa pesa hiyohiyo.bufee elf 50 si nitaishia hapo kwenye misosi? nitaogelea tena kweli?
sijaelewa unakula unakunywa na kulala kwa hyo 50 ?Kwa kifupi hiyo 50,000/= ndio kiingilio chako, hakuna tena malipo ya ziada utakula mpaka uvimbiwe kwa pesa hiyohiyo.
Kama umepanga kulala hapo hapo hulazimiki kulipia hiyo 50 ni free for hotel guests.
Mpwa basi uwe unanichukuaga na mimi nikatoe tongo tongo.......
Hata Hotel za kariakoo hakuna kitu kama hicho.sijaelewa unakula unakunywa na kulala kwa hyo 50 ?
ok shukrani kwa ufafanuzi ngoja nidowload form ya sponsorship toka italy maana kibongobongo nitaishia tu kusoma hapaHata Hotel za kariakoo hakuna kitu kama hicho.
Labda ni hivi nikurahishie, hotel room si chini ya Tsh laki mbili mpaka mbili na nusu inategemea na season, na hii ni bei ya bed and breakfast.
Sasa ukishakuwa umechukuwa room facilities kama swimming pool ni free kwa guests.
Ili kuzuia vibaka na wahuni mtu ambaye anakuja na kuondoka wameweka utaratibu huo wa kulipa 50,000/= for bufee.
Ina maana hao wenye hotel hawana taarifa za hao ma life guard wao kuhusu vitendo wanavyowafanyia wateja wao? mbona ni mambo ya ajabu sana? mimi nadhani hao wateja hasa mabinti inabidi inapotokea kufanyiwa vitendo kama hivyo wanapaswa kutoa taarifa kwa wenye hotel/kampuni husika kusudi hatua zichukuliwe dhidi ya muhusika wa vitendo hivyo,kwani huu si uungwana hata kidogo kama ni kweli hayo mambo yanafanyika.Ni kweli Kikulacho, last weekend nilimuona Kijana mmoja wa hayo Mapira ya kuogelea kama alikuwa analazimisha fursa, Bint alikuwa akiogopa lakini akawa kama anazidi kusogezwa mbele, sadly enough kila Bint alivyokuwa akipata shida ya maji aina ya uokozi wa jamaa ulikuwa zaidi kushika Hotel ya mtoto.
Mamlaka husika zieweka mingozo au Usajili wa hawa Beach Boys/ Swimming Trainers
1. Swimming Trainers wasajiliwe ili iwe rahisi kuwashika/kuwafuatlia pindi likitokea tatizo
2. Kabla ya kwenda ndani ya Bahari Mteja/Muogeleaji Mwanafunzi aambiwe haki zake ikiwemo kutoshikwa shikwa ovyo au kupelekwa kwenye kina kirefu.
3. Ile Mipira na nguo zinazo kodishwa kwa ajili ya kuogelea ziwe zinafanyiwa usafi (japo Beach zetu nazo ni full uozo)
4. Beach Boys/Swimming Trainers au wenye Hotel na Jiji wawajibike na usafi wa Beach zetu vinginevyo zawadi ya Bingwa wa Uchafu kutoka kwa Mheshimiwa Makonda wapewe wao.
5. Huduma za Kijamii kama vile Vyoo vya kujisaidia na vyakula(Mihogo etc) itolewe katika mazingira ya usafi.