am a girl
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 748
- 506
hamna kitu kizuri na salama kilicho freeBeach gani Ni free lakini nzuri na salama na Huduma zingine zipo
Argue don't shout
hamna kitu kizuri na salama kilicho freeBeach gani Ni free lakini nzuri na salama na Huduma zingine zipo
Argue don't shout
imefanya niniHata mm sijazoea.
Sasa tunafanyaje kuhusu papa hio
Mmmh Mbna naskia escape one n Burehamna kitu kizuri na salama kilicho free
Sasa tunafanyajimefanya nini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio manchester?Mimi nipo Malawi kikazi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila ww nimekushindwaaaaaaHata kama.
Najua unatania.
Sasa unadhani nakutongozea hapa hapa jukwaani au pm?
Nitafute pm nikupe mistari
Pm yako imefungwa. Adi unianze ndio nitaweza kukuandikia.
Ningeshakuandikia toka zamani mbona
Naona umepata kitu kipyaaaaa [emoji3]Sasa tunafanyaj
KimegomaaaNaona umepata kitu kipyaaaaa [emoji3]
Haha pole pamebumaaaKimegomaaa
We ni noma sana ile ni beach au uchafu?Ukijibiwa nijulishe nina mgeni nae anataka kwenda Beach, last weekend nilimpeleka Coco Beach hakupapenda.
Huko bei ipoje mkuu?tatizo mnaenda beach za bure NENDA KIGAMBONI KULE CHANGANI BEACH N.K
Nenda Jangwani beachNaombeni list ya beach nzuri za kuogelea weakend ukitoa Coco beach hapa DSM, ziwe na usalama sio za wakabaji na wabakaji na ni muda gani mzuri wa kuogelea? Mdau toka bush.